Time is money
Shukuru umeweka sanaa kwenye maandishi yako vinginevyo wala nisingesoma.....btw umefanya uchambuzi mzuri japo umeegemea zaidi kwa watawala
Shukuru umeweka sanaa kwenye maandishi yako vinginevyo wala nisingesoma.....btw umefanya uchambuzi mzuri japo umeegemea zaidi kwa watawala
Uko vizuri sana mkuu.
Ila bahati mbaya wasio na akili aka MANYUMBU hawatakuelewa ila nashukuru kumbe wapo watanzania wenye uwezo wa kufikiri.
Hii inadhihilisha kuwa watanzania wengi hawana kazi za kufanya.
Kama una kazi usingepoteza muda kwa kuandika utumbo mrefu kiasi hicho
Na ukitaka kumwibia Mwafrika ficha mali kwenye maandishi, atakazana kutumia nguvu ya mwili wakati kitu kipo kwenye maandishi kinahitaji utulivu wa akili tu!Hii inadhihilisha kuwa watanzania wengi hawana kazi za kufanya.
Kama una kazi usingepoteza muda kwa kuandika utumbo mrefu kiasi hicho
Ndefu ila sijajua wewe uko upande gani?
Hii inadhihilisha kuwa watanzania wengi hawana kazi za kufanya.
Kama una kazi usingepoteza muda kwa kuandika utumbo mrefu kiasi hicho
Sina muda wa kusoma magazeti, tatizo ndefu sana. Kasome na jirani yako
ungemjua luqman na ungeijua taaluma yake Usingeandika huu Ujinga hapa.. Kazi Anayoifanya Kubenea ndio anayoifanya huyu. Punguza Unyumbu kama Hujaelewa sema uambiwe