Na ukitaka kumwibia Mwafrika ficha mali kwenye maandishi, atakazana kutumia nguvu ya mwili wakati kitu kipo kwenye maandishi kinahitaji utulivu wa akili tu!
ungemjua luqman na ungeijua taaluma yake Usingeandika huu Ujinga hapa.. Kazi Anayoifanya Kubenea ndio anayoifanya huyu. Punguza Unyumbu kama Hujaelewa sema uambiwe
ungemjua luqman na ungeijua taaluma yake Usingeandika huu Ujinga hapa.. Kazi Anayoifanya Kubenea ndio anayoifanya huyu. Punguza Unyumbu kama Hujaelewa sema uambiwe