Kama ni kufa watanzania kila Siku wanakufa.uelewe na scenario ya jaribio la kumuua lissu. Mtu ameshambuliwa kwenye eneo lenye ulinzi wa kutosha na camera za CCTV, kwenye makazi ya naibu spika na mawaziri wa serikali.hilo halikushtui? Hivyo vichwa mnafugia nywele tu ubongo wa kukuWewe usie kuwa bwege wale wa kibiti hawakuwa Watanzania? Au wao walistahili kuuwawa! Au kujeruhiwa.?
Kutokuwepo kwa Cctv camera kunaondoa ukweli wa madhira yaliyotokea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kada tena kada mtiifu sana sana kwa Mh. Rais magufuli.Kada humsaidia kada mwenzie asiadhirike kama hilo huwa lengo sahihi.!
Ninachokitilia shaka ni hizi taarifa za watoa taarifa wa Tundu lissu. Pia najua kuna kada mamluki hivyo usipate taabu sana mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupewa bahasha sio kitu kizuri mkuuNinachojiuliza, ni huyu kiongozi wa Kanisa langu, kadinali - inakuwaje awe anamuunga mkono muuaji? Sote hata wale wanaojifanya hawajui, tunajua huyu mfalme ni muuaji. Hivi kwa kweli kwa intelijensia ya kanisa, kadinali hajui kuwa huyu mfalme ni muuaji? Kwa nini amuunge mkono mfalme muuaji?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kada tena kada mtiifu sana sana kwa Mh. Rais magufuli.
Wewe nawe uwe akili.siku zote muuaji huumbuka kabla hajafa.
Unafurahia misaada kabisa, unasahau kwamba wewe ni donor country. Sorry to say this, wewe ni jinga.Wacha azurure weeee akichoka atatulia, we unadhani wazungu wanamuhitaji kichaa!! wao wana akili nzuri kuliko huyo Lissu wanamchora tu, misaada inakuja kama kawa na EU juzi tu wamemwaga mapesa
Sent using Jamii Forums mobile app
We kiumbe upo ? Vp walikutimua kule B7 FC au hujapewa hela yako?lisu anachosha sana hatuli hatulali kila saa lisu hivi lisu vile
Ishu kubwa ni jaribio la kuuawa!!Wacha azurure weeee akichoka atatulia, we unadhani wazungu wanamuhitaji kichaa!! wao wana akili nzuri kuliko huyo Lissu wanamchora tu, misaada inakuja kama kawa na EU juzi tu wamemwaga mapesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnawaita mabeberu Bado mnataka misaada yao hivi una akili ww ChakubangaWacha azurure weeee akichoka atatulia, we unadhani wazungu wanamuhitaji kichaa!! wao wana akili nzuri kuliko huyo Lissu wanamchora tu, misaada inakuja kama kawa na EU juzi tu wamemwaga mapesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni mdomo mchafu basi itakuwa wote, yeye na Mzee wa fenti fodi. Halafu yeye ameamua kujisemea, wewe pia unaweza kuamua kuwasemea hao wa Kibiti.Wanaomlisha maneno huyu mtu huko aliko wanafanya kazi yao vema kabisa kuhakikisha anameza kila aina ya Maneno anayoletewa ( ubuyu/ umbea).. hakuwepp Nchini.. ama hayupp Nchini lakini ana taarifa zote za Ikulu, polisi, Bungeni, uraiani.. zote anazo na anazisema kwa uhakika kama vile ameshuhudia..!
Huyu mtu anapojitoa ufahamu na kuropoka kuhusu yeye kushambuliwa asisahau kuwa kuna Askari polisi walishambuliwa kibiti Mchana kweupe na wote ni marehemu sasa, asisahau kuna viongozi wa Ccm walishambuliwa kwa risasi Mchana kweupe huko kibiti sio mmoja wala wawili. Na wengine ni Marehemu, hivyo tukio lake halikuwa na kwanza kushambuliwa wale walikuwa wakiuwawa ni watu pia kama yeye.!
Mbona hatusikii kelele zake akiwauliza polisi walipofikia Uchunguzi wao katika mauaji yale??
Wengine tunakerwa sana na mdomo wake Mchafu juu ya Rais wa Nchi hii, tuhuma zake kwa Rais ambazo bila shaka nyingi hana ushahidi zaidi ya kulishwa umbeo na wapambe wake zinakera na akiendelea n mdomo wake huo mchafu kuna watu uvumilivu utawashinda kitakachufuatia hata yeye anakijua na kukitarajia..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni mdomo mchafu basi itakuwa wote, yeye na Mzee wa fenti fodi. Halafu yeye ameamua kujisemea, wewe pia unaweza kuamua kuwasemea hao wa Kibiti.
Sisimizi ameshaingia sikioni tayari..anaanza kuwasha hatariiii..soon akiingia mkongani basi itakuwa shida tupuuuu!Lissu anatiririka hatare utadhani ni mwimbaji wa muziki wa singeli
mchezo mchezo na ni hivi hivi inaanzaga unasikia tembo kaanguka
Mara paap...sisimizi kaingia kwenye mkonga wa Tembo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo basi likipinduka na kuua au kujeruhi watu dereva asilaumiwe? Acha hizo ndugu.Huyu anaongea hadi anapitiliza..mwisho watu watamzoea kuwa ana chuki na magufuli sababu anawanyoosha..
Huwezi kumtuhumu Magu kila kitu wakati kuna taasisi zinazoshughulika.
Huyo Magu atoe oda upelekwe kijijini kwani we huna ndugu..toka lini serikali ikaingilia mtu azikwe wapi..? Kwani kuna ndege inatoka streight from belgium mpaka huko ikungi??
Ndio maana nasema huyu ataongea mwisho watu watamuona mtu aliyepaniki tu..sababu anayoongea ni mengi na mepesi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure, ukitoa mimba au kushiriki kutoa mimba hubaki kama zamani unabadilika, nimeongezeaWalifikiri kuua mtu ni sawa na kufinya nzi. Somo kubwa zaidi, hata kama wangefanikiwa, wajue kuwa ukimuua binadamu kuna sehemu muhimu sana ya nafsi yako nayo inakufa! Huwezi tena kubaki ulivyokuwa.
Niliona alichofanya dereva wangu kuanzia risasi zinarushwa mpaka aliporuka nje ya gari na kujificha.