Yaani wewe so crazy yaan unamfananaisha huyo taka taka Tundu lisu na Nabii Mussa ame kweli umeishiwa point kama huwezi kucomment bora ukae kimyaa........ huyo shoga ndo unamwona wa maana.Nabii Musa alikimbia Kutoka Misri kwenda nchi ya Midian, kisa na mkasa alikimbia mkono wa Farao baada ya kumuua mmisri akiwa anamtetea muisrael mwenzake. Baadaye alirudi kuwakomboa waisrael.
Huyo nabii wako mwambie basi aje ata kesho akuokoe wewe na familia yako......................Nabii Musa alikimbia Kutoka Misri kwenda nchi ya Midian, kisa na mkasa alikimbia mkono wa Farao baada ya kumuua mmisri akiwa anamtetea muisrael mwenzake. Baadaye alirudi kuwakomboa waisrael.
Kwahiyo nabii Mussa kumbe na yeye aliwahi kurudi Misri na kushiriki uchaguzi akafeli. Balozi wa Ujerumani enzi hizo akamsindikiza juu ya mgongo wa punda na kufanikiwa kutoroka kuelekea Galilaya. Hii story inavutia sanaNabii Musa alikimbia Kutoka Misri kwenda nchi ya Midian, kisa na mkasa alikimbia mkono wa Farao baada ya kumuua mmisri akiwa anamtetea muisrael mwenzake. Baadaye alirudi kuwakomboa waisrael.
Hata YESU alitukanwa na uzao wa NYOKA (mfano wa hawa MATAGA..)unamfananaisha huyo taka taka Tundu lisu na Nabii Mussa ame kweli umeishiwa point kama huwezi kucomment bora ukae kimyaa........ huyo shoga ndo unamwona wa maana.
hata hiyo unayoitetea ni maiti inayotembea tuu kama wewe.....Hebu tuondolee hii kitu Meko yenu imishakwenda usituletee habar za maiti tuongelee waliohai[emoji41]
Lissu alipinga kuuzwa kwa Rufiji Delta kunakojengwa mradi wa JNHPPLissu ameshinda nini hadi anakimbia nchi? Ameifanyia nini Tanzania zaidi ya kuichafua? Tuwe serious kidogo. Mwandishi wa makala hiyo ni Lissu au kuwadi wake. Sasa anafurahi Magufuli amekufa. Je itamuongezea nini. Natamani arejee nchini aone atakavyopokelewa. Inawezekana waliompiga risasi ni waliokuwa wakijipendekeza kwa Magufuli au hata maadui zake wengine ambao hawana uhusiano na serikali. Wapo wanaosema ni Bashite. Siku moja tutajua ukweli na utatuweka huru.
Ila wewe jamaa akili za kinyumbu kwaiyo watoto wachanga wanao kufa ni waovuKifo ni dhambi. Mauti ni matokeo ya dhambi. Mungu huondoa haraka watu waovu hapa duniani.
Lissu rudi nyumbani waovu wanapukutika kwa mkono wa Mungu kupitia covid 19
Basi Musa alikua muoga,Lenin,Castro na Che Guavara,Mandela nkMpambanaji wa kwelii hakimbiaa na kuwacha watu wake akisubiri mhusika afe ndio arudi[emoji38][emoji38][emoji38]
Mazingira pia ni ushahidiLeteni ushahidi badala ya hisia na umbea. Kwani Lissu ni malaika? Vinginevyo tunachoweza kufanya ni kuwapuuza.
Ameichafuaje?Lissu ameshinda nini hadi anakimbia nchi? Ameifanyia nini Tanzania zaidi ya kuichafua? Tuwe serious kidogo. Mwandishi wa makala hiyo ni Lissu au kuwadi wake. Sasa anafurahi Magufuli amekufa. Je itamuongezea nini. Natamani arejee nchini aone atakavyopokelewa. Inawezekana waliompiga risasi ni waliokuwa wakijipendekeza kwa Magufuli au hata maadui zake wengine ambao hawana uhusiano na serikali. Wapo wanaosema ni Bashite. Siku moja tutajua ukweli na utatuweka huru.
Mazingira pia ni ushahidi
Meko kaondoka zake. Kamaliza safari yake ya hapa Duniani. Hakuna anaemhukumu zaidi ya Muumba wa wa yote. Mataga mnahangaika kuchafua watu.Unapoteza muda wa kutafuta kipato na familia yako unamuwaza Lissu?
Lissu hata chadema haimtaki, system haimtaki,.Kaa nae kunywa nae chai, acha ujinga
Baada ya msiba Lissu alikuwa na uwezo wa kuwa rais wa nchi badala yake kanunua ugomvi na wafiwa na kasema kafurahia kifo cha JPM
Sio mwanasiasa, kama unadhania kifo ni ushindi, hongera yeye atakayekaa milele
Lissu kashindwa na jamii, kaaibika, aibu kuu
Mara nyingi wanaoendelea kupambana na watu wa Mungu huishia kuangamia. Huwezi pambana na mshindi ukabaki salama. Kitendo cha Mungu kukuonyesha uwezo wake bila kukuathiri wewe ni dalili tosha kuwa unapewa WARNING, na yeyote ashupazaye shingo yake itavunjika.
Kwanini akuondolee, si useme yako na uache na uhuru wa wengine. Kwa wengine kama mimi, mada hapo juu ni kulazimisha attention tu ili kushindana na attention anayopewa marehemu. Huo ni mtazamo wangu. Na ni mtazamo wangu pia, kama mtu anatamani sana attention ya aliyelala mauti na yeye afe atapewa stahili yake.Hebu tuondolee hii kitu Meko yenu imishakwenda usituletee habar za maiti tuongelee waliohai😎