Sugu amejiangusha mwenyewe... jamaa wana media yeye hana, sasa yupi ni biggest gainer??
Da kama ni kweli sugu ndio atakua ameivuruga vinega kabisa kama vp sugu inabidi wakae na vinega wote wapatanishwe nao pia isiwe kwa sugu peke yake,pia nyimbo za vinega wote zipigwe clouds fm na show walipwe hela nzuri.
Mixed tape za ANTI-VIRUS ndio inakuwaje?
Natumai leo jioni Kibonde ataidunda ile ngoma ya anti virus ya kwanza kabisa ( i wanna kill right now) kwenye kipindi chake cha jahazi
Nadhanani sio unafiki mkuu wamedhamiria
kichwa kinaniuma jinsi nilivyo shangilia pale bamaga, naenda kuchoma tshirt ya vinega sasa hv aaaaaaaaahhhhhhhhhhhhhh!