MkimbizwaMbio
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 868
- 331
Who is Ruge by the way mpaka Waziri ahusike na usuluhishi?
Hapo waziri kamfuata mbunge Sugu sio Ruge.
Who is Ruge by the way mpaka Waziri ahusike na usuluhishi?
swali la msingi sana hili....ingebidi isemwe hivi..hatimaye ruge na vinega wapatana!vipi kuhusiana na vinega sasa!?
Safi sana!Lakini iwe yakweli,Unafiki nisumu mbaya hapo baadae!Tuache kujipendekeza vijana,ifike wakati tuache masilahi binafsi natuwe namasilahi ya watanzania!Inaumiza kuona vijana wanafurahia mambo yasiyoyamaendele nakushabikia siasa zakiporaji mali zauma!Tuwe nauchungu na nchi hi.i
Mbona mi siwajui wote hao,huyo Sugu,Ruge na Nchimbi ndio akina nani,mi ndio kwanza nawasikia leo,wamepatanishwa wapi na walikosana nini na lini,pia kwanini???