MNYOO JOGOO
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 195
- 94
Katika kipindi cha kuanzia 1999 hadi 2012 Wafanyakazi wa makampuni ya madini wamelipa kodi kuwa zaidi (PAYE) kuliko makampuni yenyewe ya Madini.Kwa hisani ya Tundu Lissu bungeni jana - Serikali ya wala rushwa haiwezi kukusanya kodi