Mantissa
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 876
- 168
Katika wabunge wa kwanza kuaga Jimboni kwake ni Tundu maana kweli ni Tundu lisilozibika
Ikiwa wako kama pinda, basi ataaga na watajutia milele. Hata rais anajua hilo kuwa, kuingia kwa Tundu bungeni kumempa wakati mgumu sana kuongoza nchi.
Mawaziri au wabunge ccm 10 = tundu lisu