Huna muda lakini umesoma na umepata muda wa kujibu, na my comment negative kwa watu wote wanaouunga mkono. Maajabu hayawezi kutisha kwa watu wa aina yakonakala kwa gharama ya nani.?..mambo binafsi yanatuhusu nini sisi..acha upuuzi..anatuletea siasa za mwaka 47 mzee..!..hatuna muda huo saiz..apambane na hali yake kwanza aachane na wananchi
Sent using Jamii Forums mobile app