Regia mtema anasema anashangaa wabunge wa ccm(ye anawaita MACCM),kabla ya kuanza kuchangia bajeti wanaanza kwanza kuunga mkono hoja kisha hufuata malalamiko ambayo tena huishia kwa kuunga mkono hoja!anasem MACCM wanahofia kurudi kwenye uchaguzi kwa kuwa weng walipita ama kwa kuchakachua au kwa mbinde.Anasema hayo ni mapungufu mengine ya katiba yetu.anasema katiba mpya iondoe huu udhaifu ili hata majority ya wabunge wakikataa kuunga mkono bajeti uchaguzi usirudiwe.