Tundu Lissu mpinzani pekee aliyebaki

Tundu Lissu mpinzani pekee aliyebaki

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,563
Reaction score
57,888
Ndugu zangu,

Niliongelea kumpoteza kijana mashuuri aliyekuwa mwiba Zitto Kabwe baada ya kushindwa anakosoa na ni kwa wakati gani. Mbowe yeye alishapotea baada ya kuacha kutumia ubongo wake kufikiri na kuanza kuwaruhusu wakina Sumaye na Lowassa wawe washauri wake baada ya yeye kama mwenyekiti kuwaelekeza nini cha kufanya kupitia katiba ya chama na nchi.

Aliyebaki sasa Mwenye misimamo isiyoyumba na anayeweza kuendana na kasi ya magufuli ni Tundu Lisu tofauti yake na wenzake ni kuwa. Lissu ni msomi aliyebobea katika sheria ni mtu anayejisomea sana vitabu na kujua mambo mengi zaidi. Ni mtu anayekosoa kwa kutumia vipengele vya sheria tofauti yake na wapinzani wengine ni kuwa anaweza kulisema jambo na akalisimamia kulingana na wakati.

Yupo mbele zaidi ya wenzie ambao hawajui wafanye nini na ni kwa wakati gani? Mfano Rais yupo Kahama anaongelea mambo ya migodi na madini lakini mwenyekiti wa CHADEMA yupo Dar bado anaongelea mambo ya kuhamia Dodoma anapanga maandamano sijui (UKUTA)

This means he is out of time!
Ukitaka kuwa mpinzani mzuri be Smarter, Be on time, Talk correct things. Nimemfuatilia Rais magufuli kwa muda mrefu toka akiwa mbunge huyu sio mwanasiasa kabisa. Kama ni siasa wanamlazimisha afanye siasa lakini huyu ni mtu asiyependa unafiki, mkali mpaka wengine wanamuita ni dikiteta .

Lissu na yeye ukimwangalia utagundua the same characters with Magufuli
Lissu hupenda mambo yafanyike na yakamilike at 100% hataki unafiki katika kufanya jambo nafikiri mliofuatilia bunge la katiba mtakubaliana na mimi kuwa alikuwa yupo tayari kufukua hata makaburi ili tu punda afe lakini mzigo ufike.

Tatizo ninaloliona ni kuwa baadhi ya watendaji wa Rais Magufuli hasa bungeni hawapo tayari kuwatumia watu walio makini zaidi kuwashauri kufanikisha mambo yao. Ingawa mimi namsaport Magufuli lakini Tundu Lissu ni mashine nyingine hatari katika Taifa la Tanzania.

This man you can't compare with some one other than Magufuli

Ningependa pia 2020 nione battle ya hawa watu wawili ambao wote ni mashine zenye uwezo mkubwa.

Asantee.
 
Tundu Lissu ni mchumia tumbo,kigeugeu na msanii kama walivyo chadema wengine
Ni hatari kwa mwanasheria kama Lissu,kuandaa orodha ya mafisadi,kuisambaza nchi nzima kwa miaka 8,halafu mmojawapo katika orodha unampokea unamnadi agombee urais,
Mambo haya kwa mwanasheria anaejitambua angelazimisha hilo fisadi lisafishwe kwanza na mahakama,,halafu ndio angekubali kulipokea
 
Tundu Lissu ni mchumia tumbo,kigeugeu na msanii kama walivyo chadema wengine
Ni hatari kwa mwanasheria kama Lissu,kuandaa orodha ya mafisadi,kuisambaza nchi nzima kwa miaka 8,halafu mmojawapo katika orodha unampokea unamnadi agombee urais,
Mambo haya kwa mwanasheria anaejitambua angelazimisha hilo fisadi lisafishwe kwanza na mahakama,,halafu ndio angekubali kulipokea
Wewe Anayembeza Lisu ni taahira pekeee, CCM wanamfahamu vyema kuwa sio mtu wa kubeza.
Kama ni kwa habari ya tumbo angebaki kuwa wakili na sio kuwa mwanasiasa.
Lisu ameacha kazi zenye fweza na sio siasa mkuu.
Ufike wakati tuache mahaba ya uchama tuongee kweli
 
Kweli Lisu ni mtu mwenye uelewa na sio mnafiki kama CDM.mim nadhani aliingia Cdm kimakosa atafute mahali sahihi pakufanyia kazi coz hawa cdm hawana malengo na maendeleo ya nchi.Lisu no binge LA MTU ILA TANZANIA IMESHINDWA KUMTUMIA.
 
Ndugu zangu,

Niliongelea kumpoteza kijana mashuuri aliyekuwa mwiba Zitto Kabwe baada ya kushindwa anakosoa na ni kwa wakati gani. Mbowe yeye alishapotea baada ya kuacha kutumia ubongo wake kufikiri na kuanza kuwaruhusu wakina Sumaye na Lowassa wawe washauri wake baada ya yeye kama mwenyekiti kuwaelekeza nini cha kufanya kupitia katiba ya chama na nchi.

Aliyebaki sasa Mwenye misimamo isiyoyumba na anayeweza kuendana na kasi ya magufuli ni Tundu lisu tofauti yake na wenzake ni kuwa.Lissu ni msomi aliyebobea katika sheria ni mtu anayejisomea sana vitabu na kujua mambo mengi zaidi. Ni mtu anayekosoa kwa kutumia vipengele vya sheria tofauti yake na wapinzani wengine ni kuwa anaweza kulisema jambo na akalisimamia kulingana na wakati.

Yupo mbele zaidi ya wenzie ambao awajui wafanye nini na ni kwa wakati gani? Mfano Rais yupo kahama anaongelea mambo ya migodi na madini lakini mwenyekiti wa chadema yupo dar bado anaongelea mambo ya kuamia Dodoma anpanga maandamano sijui (UKUTA)

This means he is out of time!
Ukitaka kuwa mpinzani mzuri be Smarter, Be on time, Talk collect things.Nimemfatilia Rais magufuli kwa muda mrefu toka akiwa mbunge huyu sio mwanasiasa kabisa. Kama ni siasa wanamlazimisha afanye siasa lakini huyu ni mtu asiyependa unafiki, mkali mpaka wengine wanamuita ni dikiteta .

Lissu nayeye ukimwangalia utagundua the same characters with magufuli
Lissu upenda mambo yafanyike na yakamilike at100% ataki unafiki katika kufanya jambo nafikiri mliofuatilia bunge la katiba mtakubaliana na mimi kuwa alikuwa yupo tayari kufukua hata makaburi ili tu punda afe lakini mzigo ufike.

Tatizo ninaloliona ni kuwa baadhi ya watendaji wa Rais magufuli hasa bungeni hawapo tayari kuwatumia watu walio makini zaidi kuwashauri kufanikisha mambo yao. Ingawa mimi namsaport Magufuli lakini Tundu Lissu ni machine nyingine hatari katika Taifa la Tanzania.

This man you can't compare with some one other than Magufuli

Ningependa pia 2020 nione battle ya hawa watu wawili ambao wote ni mashine zenye uwezo mkubwa.

Asantee.
Na ndiye anayepaswa kurithi mikoba ya Rais Magufuli.Tofauti ni kwamba TL anaweza kufuata sheria na anaijua Sheria zaidi.
 
Wanafiki kazini. Mmechokonoa mkaona kimya, saivi mnaanza maneno yenu ya kichonganishi na kujifanya mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Kwaiyo mnataka aamie huko!!!!!
 
Jamaa naona ni kama mbishi wa kupinga kila ki2 kiwe kibaya au kizuri
Watu kama hawa ni hatari sana
Hawanaga ukweli
Ndo maana namkubali zito maake anajua anachopinga
 
Tundu Lissu ni mchumia tumbo,kigeugeu na msanii kama walivyo chadema wengine
Ni hatari kwa mwanasheria kama Lissu,kuandaa orodha ya mafisadi,kuisambaza nchi nzima kwa miaka 8,halafu mmojawapo katika orodha unampokea unamnadi agombee urais,
Mambo haya kwa mwanasheria anaejitambua angelazimisha hilo fisadi lisafishwe kwanza na mahakama,,halafu ndio angekubali kulipokea
Sioni kama Tundu lissu ana shida ya pesa kama walivyo wakina Zitto na mbowe!!
 
Kweli Lisu ni mtu mwenye uelewa na sio mnafiki kama CDM.mim nadhani aliingia Cdm kimakosa atafute mahali sahihi pakufanyia kazi coz hawa cdm hawana malengo na maendeleo ya nchi.Lisu no binge LA MTU ILA TANZANIA IMESHINDWA KUMTUMIA.
Mkuu upo sahihi
 
Wanafiki kazini. Mmechokonoa mkaona kimya, saivi mnaanza maneno yenu ya kichonganishi na kujifanya mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Kwaiyo mnataka aamie huko!!!!!
Kwa taarifa yako Mimi sio mnafiki kama ilivyo wewe kwangu nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi!!
 
Jamaa naona ni kama mbishi wa kupinga kila ki2 kiwe kibaya au kizuri
Watu kama hawa ni hatari sana
Hawanaga ukweli
Ndo maana namkubali zito maake anajua anachopinga
Mkuu zitto ndio mchumia tumbo no 1
 
Ndugu zangu,

Niliongelea kumpoteza kijana mashuuri aliyekuwa mwiba Zitto Kabwe baada ya kushindwa anakosoa na ni kwa wakati gani. Mbowe yeye alishapotea baada ya kuacha kutumia ubongo wake kufikiri na kuanza kuwaruhusu wakina Sumaye na Lowassa wawe washauri wake baada ya yeye kama mwenyekiti kuwaelekeza nini cha kufanya kupitia katiba ya chama na nchi.

Aliyebaki sasa Mwenye misimamo isiyoyumba na anayeweza kuendana na kasi ya magufuli ni Tundu lisu tofauti yake na wenzake ni kuwa.Lissu ni msomi aliyebobea katika sheria ni mtu anayejisomea sana vitabu na kujua mambo mengi zaidi. Ni mtu anayekosoa kwa kutumia vipengele vya sheria tofauti yake na wapinzani wengine ni kuwa anaweza kulisema jambo na akalisimamia kulingana na wakati.

Yupo mbele zaidi ya wenzie ambao awajui wafanye nini na ni kwa wakati gani? Mfano Rais yupo kahama anaongelea mambo ya migodi na madini lakini mwenyekiti wa chadema yupo dar bado anaongelea mambo ya kuamia Dodoma anpanga maandamano sijui (UKUTA)

This means he is out of time!
Ukitaka kuwa mpinzani mzuri be Smarter, Be on time, Talk collect things.Nimemfatilia Rais magufuli kwa muda mrefu toka akiwa mbunge huyu sio mwanasiasa kabisa. Kama ni siasa wanamlazimisha afanye siasa lakini huyu ni mtu asiyependa unafiki, mkali mpaka wengine wanamuita ni dikiteta .

Lissu nayeye ukimwangalia utagundua the same characters with magufuli
Lissu upenda mambo yafanyike na yakamilike at100% ataki unafiki katika kufanya jambo nafikiri mliofuatilia bunge la katiba mtakubaliana na mimi kuwa alikuwa yupo tayari kufukua hata makaburi ili tu punda afe lakini mzigo ufike.

Tatizo ninaloliona ni kuwa baadhi ya watendaji wa Rais magufuli hasa bungeni hawapo tayari kuwatumia watu walio makini zaidi kuwashauri kufanikisha mambo yao. Ingawa mimi namsaport Magufuli lakini Tundu Lissu ni machine nyingine hatari katika Taifa la Tanzania.

This man you can't compare with some one other than Magufuli

Ningependa pia 2020 nione battle ya hawa watu wawili ambao wote ni mashine zenye uwezo mkubwa.

Asantee.
Tundu Lissu ameanza harakati akiwa bado shule ya msing pia kwa wazazi ila magufuli ameanza harakati zake akiwa chuo kikuu UDSM,ALIPOKUWA ANACHUKUA degree ya pili,hivyo LISSU halinganishwi hiyo ni namba nyingine kabisaaaaaaaa muulize JK,uliza wanasheria wenzie,uliza Anne Makinda,Muulize mwanasheria mkuu,muulize Magufuli mwenyewe,muulize Chenge,uliza yeyote mwenye akili na weledi hii namba jamani sio,mwisho kaulize watu wa migodini nyamongo halafu umalizie kwenye jimbo lake.
 
Tundu Lissu ameanza harakati akiwa bado shule ya msing pia kwa wazazi ila magufuli ameanza harakati zake akiwa chuo kikuu UDSM,ALIPOKUWA ANACHUKUA degree ya pili,hivyo LISSU halinganishwi hiyo ni namba nyingine kabisaaaaaaaa muulize JK,uliza wanasheria wenzie,uliza Anne Makinda,Muulize mwanasheria mkuu,muulize Magufuli mwenyewe,muulize Chenge,uliza yeyote mwenye akili na weledi hii namba jamani sio,mwisho kaulize watu wa migodini nyamongo halafu umalizie kwenye jimbo lake.
Mkuu upo sahihi Mimi nimewalinganisha kwa misimamo isiyoyumba!!!
 
Tundu Lissu ni mchumia tumbo,kigeugeu na msanii kama walivyo chadema wengine
Ni hatari kwa mwanasheria kama Lissu,kuandaa orodha ya mafisadi,kuisambaza nchi nzima kwa miaka 8,halafu mmojawapo katika orodha unampokea unamnadi agombee urais,
Mambo haya kwa mwanasheria anaejitambua angelazimisha hilo fisadi lisafishwe kwanza na mahakama,,halafu ndio angekubali kulipokea
Ni kesi gani ya huyo fisadi unayemsema ambayo ilikuwa imefikishwa Mahakamani???.Utasafishwaje na Mahakama bila kwanza kufunguliwa kesi Mahakamani??.WADANGANYIKA katika Ubora wao!!!!!!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom