Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Yanayotokea leo hii kule Ngorongoro tayari mh Lissu alisha yasema bungeni kitambo.
Sema tu ni kwakuwa alikuwa anachukuliwa poa kisa ni mpinzani lkn kama serikali ingelifuata mawazo yake na kuyafanyia kazi hili tatizo la leo lisingekuwepo.
Hakika CDM ina hazina ya viongozi wenye maono na akili kubwa sana hapa nchini.
Sema tu ni kwakuwa alikuwa anachukuliwa poa kisa ni mpinzani lkn kama serikali ingelifuata mawazo yake na kuyafanyia kazi hili tatizo la leo lisingekuwepo.
Hakika CDM ina hazina ya viongozi wenye maono na akili kubwa sana hapa nchini.