Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Vichwa kama hivi vinapaswa kupewa nafasi ya kuongoza nchi.TUNDU LISSU kupewa tuzo ya mwanasiasa msomi na mtetezi wa haki za binadamu barani afrika na duniani
Sambamba na hilo umoja wa mataifa utamtunuku tuzo maalumu kwa kuwa binadamu wa kwanza na msomi anayezijua sheria za kimataifa
View attachment 1038810
Anapaa huyo, anapaa huyooooooooooooooooooooooooooooooooo! Mungu mbariki TL, Mungu mponye TL! Mungu mlinde TL!TUNDU LISSU kupewa tuzo ya mwanasiasa msomi na mtetezi wa haki za binadamu barani afrika na duniani
Sambamba na hilo umoja wa mataifa utamtunuku tuzo maalumu kwa kuwa binadamu wa kwanza na msomi anayezijua sheria za kimataifa
View attachment 1038810
Chadema bhana eti binadamu wa kwanza.TUNDU LISSU kupewa tuzo ya mwanasiasa msomi na mtetezi wa haki za binadamu barani afrika na duniani
Sambamba na hilo umoja wa mataifa utamtunuku tuzo maalumu kwa kuwa binadamu wa kwanza na msomi anayezijua sheria za kimataifa
View attachment 1038810
Wale wanajua kuvuta bangi tu, eti binadamu wa kwanza.Uwiiii, kwambaa ni binadamu wa kwanza kujua sheria za dunia.. hivi bavicha hakuna mwenye uelewa hata kidogo.. mnaaibisha eti 😄😄
Binadamu wa kwanza na msomi anayezijua sheria za kimataifa.TUNDU LISSU kupewa tuzo ya mwanasiasa msomi na mtetezi wa haki za binadamu barani afrika na duniani
Sambamba na hilo umoja wa mataifa utamtunuku tuzo maalumu kwa kuwa binadamu wa kwanza na msomi anayezijua sheria za kimataifa
View attachment 1038810
Indeed.
Huu ni ushahidi jf ina vitoto vingi.
Kabisa mkuuHuu nibushahidi jf ina vitoto vingi.
Lissu The GreatestTUNDU LISSU kupewa tuzo ya mwanasiasa msomi na mtetezi wa haki za binadamu barani afrika na duniani
Sambamba na hilo umoja wa mataifa utamtunuku tuzo maalumu kwa kuwa binadamu wa kwanza na msomi anayezijua sheria za kimataifa
View attachment 1038810
Binadamu msomi na wa kwanza kuzijua sheria za kimataifa.Vichwa kama hivi vinapaswa kupewa nafasi ya kuongoza nchi.