Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,745
- 4,852
Tunajiuliza juu ya ziara za Mh. Lissu nje ya Ubelgiji anakopewa matibabu. tunajiuliza anatoa wapi pesa za kufanya ziara nchi zote hizo, ukweli ni kwamba kwa nchi za Ulaya na Amerika huwezi kukosa pesa za ziara kama utaonyesha kutetea maslahi yao. Lisu amewatetea mara zote wakiguswa ktk migodi na hivi karibuni alionyesha wazi kwamba hayuko tayari kuukana ushoga ndani ya TZ. Kwao hilo ni mtaji wa kumbeba Lissu kama mtetezi anayestahili kuzungushwa duniani. Yawezekana kweli hata Vatican atapelekwa.
Kuna kijana wa uganda anayeitwa Frank Mugisha ambaye ni shoga. Kamugisha alijitangaza ushoga wake na akatiwa kibano na serikali ya Uganda. Alipowaponyoka uganda, mara moja alipata msaada mkubwa kwa serikali za ulaya na Amerika. akazungushwa nchi kadhaa akisimulia haki yake ya kuwa shoga. Hiyo ndiyo kawaida ya watu wa magharibi. Hutamuona Lissu au Kamugisha akienda China au nchi yoyote ya Asia au South-East asia. Bahati mbaya Mugisha kama LIssu alitukana Uganda, Afrika na hata dini za Kikristo Uganda.
Lissu sasa hivi kisha pata pesa nzuri na ndiyo maana hajli sana kuondolewa ubunge, ingawa wengine tunazubaishwa na kuamini anatetea haki zetu, zipi? Tutegemee kumuona Lissu akizungushwa. Hapa siyo Demokrasia au la, wameshaona umuhimu wa kumuzungusha, Ni mtetezi wa maslahi yao ktk migodi na ushoga.
Kuna kijana wa uganda anayeitwa Frank Mugisha ambaye ni shoga. Kamugisha alijitangaza ushoga wake na akatiwa kibano na serikali ya Uganda. Alipowaponyoka uganda, mara moja alipata msaada mkubwa kwa serikali za ulaya na Amerika. akazungushwa nchi kadhaa akisimulia haki yake ya kuwa shoga. Hiyo ndiyo kawaida ya watu wa magharibi. Hutamuona Lissu au Kamugisha akienda China au nchi yoyote ya Asia au South-East asia. Bahati mbaya Mugisha kama LIssu alitukana Uganda, Afrika na hata dini za Kikristo Uganda.
Lissu sasa hivi kisha pata pesa nzuri na ndiyo maana hajli sana kuondolewa ubunge, ingawa wengine tunazubaishwa na kuamini anatetea haki zetu, zipi? Tutegemee kumuona Lissu akizungushwa. Hapa siyo Demokrasia au la, wameshaona umuhimu wa kumuzungusha, Ni mtetezi wa maslahi yao ktk migodi na ushoga.