Tundu Lissu, Humphrey Polepole na Josephat Gwajima ndiyo pekee ambao wakiachiwa na kuongea neno, kidogo itatuliza fukuto

Tundu Lissu, Humphrey Polepole na Josephat Gwajima ndiyo pekee ambao wakiachiwa na kuongea neno, kidogo itatuliza fukuto

The Magnifico

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
427
Reaction score
1,579
Hii miamba mitatu ndiyo kwa sasa ina "Public Trust" kubwa nchi hii kuliko yeyote yule katika nyakati hizi. Hawa ndiyo imani ya wananchi wengi iko kwao, neno lao lina nguvu kushinda yeyote yule!

Hawa ndiyo the only "Checkmate" wa kututoa kwenye hili sekeseke na kutuliza hali ya hewa ya nchi.

Hii miamba ni vizuri ingeachiwa ili tuponye nchi, haina maana kuendelea kuwashikilia na wengine waendelee kuishi mafichoni wakati ndiyo wenye ambao wamekamatia kura ya turufu ya kubalance mambo.
images (25).jpeg

gwajima-2-picha.jpg


polepole-pic.jpg
 
Hii miamba mitatu ndiyo kwa sasa ina "Public Trust" kubwa nchi hii kuliko yeyote yule katika nyakati hizi. Hawa ndiyo imani ya wananchi wengi iko kwao, neno lao lina nguvu kushinda yeyote yule!

Hawa ndiyo the only "Checkmate" wa kututoa kwenye hili sekeseke na kutuliza hali ya hewa ya nchi.

Hii miamba ni vizuri ingeachiwa ili tuponye nchi, haina maana kuendelea kuwashikilia na wengine waendelee kuishi mafichoni wakati ndiyo wenye ambao wamekamatia kura ya turufu ya kubalance mambo.
View attachment 3501578

View attachment 3501580

View attachment 3501581
I do agree with you 100%
 
Lissu haachiwi na inatakiwa ahukumiwe kunyongwa kwa kuhamaisha Uasi
 
Bila watu kupigwa pingu na kuwajibika na kilichotokea hakuna cha kutuliza lolote..... Hatuhitaji Maneno bali Vitendo vya kuwajibisha watu hususan katika Vyombo vyetu vya Usalama ili Imani irudi - Bila hivyo ni a Failed State.
 
Ukweli mchungu serikali iliyojichangu wananchi kuitii itakua kazi sana kwa mfano wakiongeza kodi zinazogusa maisha ya watu tegemea tena maandamano
 
Hii miamba mitatu ndiyo kwa sasa ina "Public Trust" kubwa nchi hii kuliko yeyote yule katika nyakati hizi. Hawa ndiyo imani ya wananchi wengi iko kwao, neno lao lina nguvu kushinda yeyote yule!

Hawa ndiyo the only "Checkmate" wa kututoa kwenye hili sekeseke na kutuliza hali ya hewa ya nchi.

Hii miamba ni vizuri ingeachiwa ili tuponye nchi, haina maana kuendelea kuwashikilia na wengine waendelee kuishi mafichoni wakati ndiyo wenye ambao wamekamatia kura ya turufu ya kubalance mambo.

View attachment 3501580

View attachment 3501581
Unaipangia mamlaka
 
Back
Top Bottom