MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,976
- Thread starter
- #141
Sasa hii motto ya CHADEMA inayosema Peoples Power iliishia wapi?Upinzani haukushindwa kumshawishi watu kuandamana, bali serikali ilizuia maandamano. Viongozi wengi wa upinzani waliwekwa ndani, matamko ya serikali juu ya watakaojitokeza kuandamana yalijaa vitisho. Kwa Hali hiyo ni busara ilitumika kuacha kuandamana kuepusha shari na dola.