Mzee Mzima
Senior Member
- Mar 31, 2008
- 159
- 47
Naona anambana waziri Nchimbi.
Samwel Sitta atofautiana na CCM wenzake bungeni kuhusu Polisi kutumika na wanasiasa. Amesema hoja hiyo haipaswi kupingwa ila kupewa muda wa kutosha kujadiliwa kama hoja binafsi.