Tundu Lissu atinga na bakuli la chakula Mahakamani

Tundu Lissu atinga na bakuli la chakula Mahakamani

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Wakuu

Leo Lissu ametinga na chakula kizimbani na kusema maneno haya, "Una chakula cha kutosha kila kheri" Wakili Peter Kibatala akizungumza na Lissu kabla ya kesi kuendelea hapa Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam.

1771481879616.png

 
Huyu Mzee nafikiri kisha zoea hayo mazingira na psychologically mtu akishafikia hatua ya ku cop na mazingira husika mlioko pembeni ndio mnao hangaika na kufadhaika zaidi
Mwamba yupo happy kinoma yaan,
 
Wakuu

Leo Lissu ametinga na chakula kizimbani na kusema maneno haya, "Una chakula cha kutosha kila kheri" Wakili Peter Kibatala akizungumza na Lissu kabla ya kesi kuendelea hapa Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam

View attachment 3545256
huenda anasumbuliwa na minyoo au anafurahia zaidi chakula cha magereza, uhalifu unaomkabili unamsababaishia njaa kali sana :1Head:
 
Pesa zinazopotea hapo si mchezo.Daah wangetupa sisi huku tubetie tu..Mzee amejizoelea zaka..hadi nateseka mimi huku😀😀😀😀
 
huenda anasumbuliwa na minyoo au anafurahia zaidi chakula cha magereza, uhalifu unaomkabili unamsababaishia njaa kali sana :1Head:
Maumivu yako dhidi ya mzalendo wa kweli yanaeleweka. Vumilia hivyo hivyo, huyo ni kiboko ya majizi.
 
Back
Top Bottom