Tundu Lissu asusia mkutano Dar

Kwanza ni lazima ujue mimi sijawahi kuichukia CDM wala sina pango wa kufanya hivyo mbele, ila kama ukiniuliza kama kuna watu nawachukia huko CDM nitakujibu NDIYO. Pili mimi ninapenda tujadili suala hili mbali zaidi ya CDM na CCM a hata kama unadhani ni vyema kulichambua suala hili kiCCM na CDM kwani huji kuwa CCM ina UMMA wake? Hujui wapo waliopewa fursa ya kuichagua CDM na CCM wakaichagua CCM? Hao walioichagua CCM ndio watakaosimama na CCM. Kwa bahati mbaya haitakuwa hivyo kama nilivyokuambia awali hayatakuwa mapambano ya uCCM na uCDM. Usije kuingizwa kenye mapambano usoyajua jaribu kuangalia uliposimama
Ok then,toa mwongozo wa namna ya kujadili mbali zaidi ya CDM na CCM.Je unapenda mafisadi washinde?
 
sasa kutoka katika public debate inasaidia nini...! Mbona mchangiaji wa ccm kazomewa ikawa poa tuu... CDM wasipoangalia nao mwisho wa siku wataonekana waigizaji tuu kama kina joti. SIasa za ccm very cheap na za cdm nazo zinaelekea huko huko....ANGALIZO
 
Maoni yako ni mazuri kama ungeondoa iyo repetence ya mara Father,mara Padre,nyie manajidai mnazungumza honestly behind ananymous screen names, lakini mna nia ya kisiasa. Ofcorse mnataka wale wanachama wa CDM ambao si wakristo wajione wanaongozwa na Padre ama kiongozi wa dini ya wakristo.

Ningeomba mwongozo kwenye hili,kiutaratibu kwenye medani za kisiasa,kama mtu aliwahi kuwa Rais,basi hata akistaafu,si ajabu kusikia akiwa referenced as "president",na mara nyingi huelezwa kuwa ni mstaafu.Sasa kwa upande wa Dr Slaa,yeye tayari yuko kwenye siasa na upadre alishaachana nao.Hilo uliheshimu.Ningependa kujua kama mtu ukiachana na upadre kama unaruhusiwa kuitwa padre.Na kama si sahihi,basi ni bora tu umwite Dr Slaa,ama katibu nk.
JMushi1,nashukuru kwa kutoa maoni yako juu ya maoni yangu.

Mara zote ninajitahidi kwamba nisiendeshwe na ushabiki kutoa mchango wangu,ama kujadili suala lolote lihusulo maslahi ya Taifa letu.
Na kuhusu kutumia title ya Padre ninapomzungumzia Padre Dr.W.Slaa,nadhani ni athari za mafundisho niliyopewa nikiwa katika u katekumeni,au yale mafunzo ya kanisani ili kupata sakramenti mbalimbali zinazotolewa ndani ya Kanisa katoliki....niliweza kujifunza kwamba kuna sakramenti saba,zikiwemo NDOA na UPADRE,na hii sakramenti ya NDOA ina hadhi sawa na sakramenti ya u PADRE,
Katika kanisa Katoliki,mtu akishaoa ama kuolewa,atabakia kuwa katika hesabu ya ndoa hiyo hiyo(kama hakudanganya kufungishwa ndoa hiyo)mpaka atakapofariki
Pia atabakia kuwa Padre maisha yake yote(uchunguzi wa kina hufanyika ili asiingie upadre kama kuna vitu vinavyomzuia asiwe Padre,mengine huachiwa Mungu),isipokuwa muda fulani anaweza tu kwa wakati fulani ama maishani kupunguziwa uwezo fulani (kama vile kuungamisha,kuadhimisha ibada ya Sakramenti ya Ekaristi takatifu),lakini hatoondolewa u Padre wake kama sakramenti ya msingi aliyoipata ndani ya kanisa,hivyo kuendelea kuwa Padre maisha yake yote.Na pia U Padre ndio cheo ambacho ni BASIC kwa watumishi wote ndani ya kanisa katoliki kuanzia ngazi ya Padre,hata mtu awe askofu,awe Kardinal,awe Papa(kama ilivyo kwenye fani ya udaktari wa tiba,kuanzia digrii moja wewe ni dr,master ni dr,Phd ni dokta,Profesor bado ni dokta)
Hivyo basi,kwangu mimi kutumia Padre Slaa,ndio maadili yangu niliyolelewa nayo na kuyaelewa,na sioni ni kosa.Siongeil hili kwa sababu unazozisema wewe,nadhani kwa maelezo haya,Padre Dr.W Slaa atakuwa mtu wa nafasi ya juu kuweza kunisahihisha kama mafundisho yangu niliyoyaelewa ya tatizo....anaweza(ama mtu yeyote anaweza kunisahihisha)
anhaa nilisahau,na by the way,Padre kwa kiswahili maana yake ni BABA,na kwa kiingereza ni FATHER
Asante
 
sasa kutoka katika public debate inasaidia nini...! Mbona mchangiaji wa ccm kazomewa ikawa poa tuu... CDM wasipoangalia nao mwisho wa siku wataonekana waigizaji tuu kama kina joti. SIasa za ccm very cheap na za cdm nazo zinaelekea huko huko....ANGALIZO
Mlienda kukodi wahuni ili muweze kupata nafasi ya kuongea haya mnayoongea.Kama ilikuwa ni zomea zomea ya kivyama,mbona Warioba hakuzomewa?Msilete mchezo kwenye hii issue mtalipeleka Taifa pabaya.Watu wa kukodi kuleta vurugu hawana passion na kile wanachokifanya,mwishowe wata run away like cowards,si mmeona wamelala?
Sasa mnaleta mchezo nyie,si ndiyo?
 
Ok then,toa mwongozo wa namna ya kujadili mbali zaidi ya CDM na CCM.Je unapenda mafisadi washinde?

Kwa kuwa suala hili linagusa maslahi ya watu wengi, hebu tuanze kwa kuangalia makundi makuu ya raia wa nchi hii( utagundua kundi l siasa ni dogo sana rejea idadi ya wanachma wa vyama vyote na idadi ya watu waliopiga kura), unaweza kuanza kwa kuchambua makundi makuu yanayounda jamii ya watanzania, halafu tunaweza kuendela kutokea hapo. Kwa bahati mbaya sana siamini mapambano haya yanahusu ufisadi kwa uwa wanaotka tuamini kuwa wanapambana na ufisadi wao pia ni mafisadi wakubwa(kwa shahidi). kwenye hili sijui hata kama mafisdi wanahusika zaidi ya kutumiwa kuficha sura za wanafiki.
 
Mbona wa CCM na UDP walizomewa Chuo Kikuu, hakuna aliyesusa? Hawa Chadema wamezowewa kidogo tu wanajidai kususa. Wazomee wao tu, wakizomewa wanasusa. wakishindwa kura wanasusa, wakoje hawa?
Unapashwa kuelewa CCM wanazomewa kwa sababu ya kutuma wawakilishi hafifu (INCOMPITENT) Kuwawakilisha ambao wanazungumza pumba.Hawazomewi kwa sababu ni CCM bali wanazomewa kwa upupu wao.Na hii inadhihilisha ni kwa kiasi gani CCM na serikali wasivyo serious.Naimani ndani ya CCM kuna watu makini wanaoweza kuwawakilisha katika midahalo mingi lakini CCM haiwatumii au hawako tayari kutokana na msimamo wa chama chao kupingana na ukweli uliopo wazi.Wanataka kuleta utaratibu au nidhamu ya kuburuzana katika vikao vyao.WATAFANYA KILA MBINU KUVURUGA MIJADALA YA KATIBA.Kwa kukusanya watu watoto kujaza nafasi na kuwanyima wachangiaji wa kweli kushiriki,watatuma mjadala wa katiba vijijini ulioandikwa kiingereza!na mbinu nyingi chafu.Mjadala huu kujadiliwa sio matakwa ya CCM bali wanafanya hivyo kwa shinikizo.Wnataka kufanya kama formality.HATUTEGEMEI WATU WALIOIKIMBIA MIDAHALO WAKATI WA UCHAGUZI WAFURAHIE MIJADALA WA KATIBA,CCM WEUPE CCM KUKUBALI MIJADALA AU MIDAHALO NI KUVULIWA NGUO HADHARANI.
 
JMushi1,nashukuru kwa kutoa maoni yako juu ya maoni yangu.

Mara zote ninajitahidi kwamba nisiendeshwe na ushabiki kutoa mchango wangu,ama kujadili suala lolote lihusulo maslahi ya Taifa letu.
Na kuhusu kutumia title ya Padre ninapomzungumzia Padre Dr.W.Slaa,nadhani ni athari za mafundisho niliyopewa nikiwa katika u katekumeni,au yale mafunzo ya kanisani ili kupata sakramenti mbalimbali zinazotolewa ndani ya Kanisa katoliki....niliweza kujifunza kwamba kuna sakramenti saba,zikiwemo NDOA na UPADRE,na hii sakramenti ya NDOA ina hadhi sawa na sakramenti ya u PADRE,
Katika kanisa Katoliki,mtu akishaoa ama kuolewa,atabakia kuwa katika hesabu ya ndoa hiyo hiyo(kama hakudanganya kufungishwa ndoa hiyo)mpaka atakapofariki
Pia atabakia kuwa Padre maisha yake yote(uchunguzi wa kina hufanyika ili asiingie upadre kama kuna vitu vinavyomzuia asiwe Padre,mengine huachiwa Mungu),isipokuwa muda fulani anaweza tu kwa wakati fulani ama maishani kupunguziwa uwezo fulani (kama vile kuungamisha,kuadhimisha ibada ya Sakramenti ya Ekaristi takatifu),lakini hatoondolewa u Padre wake kama sakramenti ya msingi aliyoipata ndani ya kanisa,hivyo kuendelea kuwa Padre maisha yake yote.Na pia U Padre ndio cheo ambacho ni BASIC kwa watumishi wote ndani ya kanisa katoliki kuanzia ngazi ya Padre,hata mtu awe askofu,awe Kardinal,awe Papa(kama ilivyo kwenye fani ya udaktari wa tiba,kuanzia digrii moja wewe ni dr,master ni dr,Phd ni dokta,Profesor bado ni dokta)
Hivyo basi,kwangu mimi kutumia Padre Slaa,ndio maadili yangu niliyolelewa nayo na kuyaelewa,na sioni ni kosa.Siongeil hili kwa sababu unazozisema wewe,nadhani kwa maelezo haya,Padre Dr.W Slaa atakuwa mtu wa nafasi ya juu kuweza kunisahihisha kama mafundisho yangu niliyoyaelewa ya tatizo....anaweza(ama mtu yeyote anaweza kunisahihisha)
anhaa nilisahau,na by the way,Padre kwa kiswahili maana yake ni BABA,na kwa kiingereza ni FATHER
Asante
Nimekupata,hata hivyo msimamo wangu upo pale pale kwamba wengi wa wale wanaomwita Padre,ni wale wenye nia ya kupanda chuki dhidi yake na wenye dini nyingine.Hilo liko wazi.
However sasa na wewe umekuja na gia ya dini ya ukatoliki,huoni tupo kwenye siasa?Tatizo naona athari zako za mafundisho uliyopewa ya katekumeni yanafanana na mafunzo waliyopewa kina Malaria Sugu.
Haya ndugu Aplinari,tuendelee na mjadala,siwezi kumsemea Dr. slaa kwasababu na yeye yumo humu.Hata mimi huwa ningependa kumwita Padre,lakini haina mantiki kwenye mazungumzo haya pamoja na yale anayoyapigania kwasasa,anawapigania watanzania wote,na cheo chake sasa kinatakiwa kireflect status hiyo.
Naona ni wahuni waliotumwa wengi wao wameathirika kama wewe.
 
Kwa kuwa suala hili linagusa maslahi ya watu wengi, hebu tuanze kwa kuangalia makundi makuu ya raia wa nchi hii( utagundua kundi l siasa ni dogo sana rejea idadi ya wanachma wa vyama vyote na idadi ya watu waliopiga kura), unaweza kuanza kwa kuchambua makundi makuu yanayounda jamii ya watanzania, halafu tunaweza kuendela kutokea hapo. Kwa bahati mbaya sana siamini mapambano haya yanahusu ufisadi kwa uwa wanaotka tuamini kuwa wanapambana na ufisadi wao pia ni mafisadi wakubwa(kwa shahidi). kwenye hili sijui hata kama mafisdi wanahusika zaidi ya kutumiwa kuficha sura za wanafiki.
Taja hao wapambanaji ambao unasema ni mafisadi na ufisadi walioufanyaWeka ushahidi kama unavyodai.Ukiniuliza mimi niwataje mafisadi wa chama chako nitakuwekea orodha ndefu hadi uchoke kuisoma.
 
Hiyo nguvu ya umma unayo wewe, Mbowe, na Lisu peke yenu? Lazima mjue nguvu ya umma si ya kwako peke yako, wewe unayo yako na wengine wanayo yao, pindi utakapo amua kutumia ya kwako lazima ujue na wenzako pia watatumia ya kwao. Sidhani kama kuna mtu huwa anawaambia ila hivyo vitisho vyenu sasa vimekwisha tufika kooni na tunachotaka kuona ni ninyi mkiitumia hiyo nguvu yenu ili na sisi tusimame. Hii sio nchi yako peke na wafuasi wako bali ni yetu sote na kuna waliotayari kuipigania hata tone la mwisho la damu, nakuambia haya kwa moyo mkunjufu ujue kuwa sasa nchi imefika mahala ambapo mnapataka, kama mnasubiri taarifa zilizofanyiwa ''utafiti'' wa kina mtachelewa kwani mapigano baina yenu na sisi yamekwisha anza na katika hili hakuna anayemuogopa mwenzake( mwisho wa siku tutakufa anyway). Kwa kuwa upo hapa nenda kawaambie wenzako wa quit kutishia walete hiyo nguvu ya umma tunaisubiri kwa hamu. Hakuna amani hapa na hali itaendelea kuwa hivyo na hatuna cha kufanya tena zaidi ya kupambana. Najua wapo wanaoamini kuwa nchi hii bado inaweza kuwa amani lakini amani huku wengine wanatukanwa na kudharauliwa haipo, sasa waambie hao umma wako watoke wasimame kwani sisi pia tumesimama tayari kuwakabili. MAPIGANO YAMEANZA TUMESIMAMA IMARA.
Akili zako ziko makarioni au tumboni.... Kenya,Malawi,Zambia,Egypti,Tunis,Ivory coast na Libya
kulikuwa na watu wenye nyodo kama wewe, lakini Je'leo wako wapi? wote wamezolewa na upepo wa mabadiliko ya nguvu ya umma
 
Taja hao wapambanaji ambao unasema ni mafisadi na ufisadi walioufanya.Ukiniuliza mimi niwataje mafisadi wa chama chako nitakuwekea orodha ndefu hadi uchoke kuisoma.

1. Dr Wilbroad Slaa - mkataba wa kufasidi ruzuku halali ya CHADEMA kujilipa mshahara wa mamilioni.
2. Samuel Sitta - Matumizi mabaya ya fedha za ofisi ya mbunge(ametumia umia zaidi ya Milioni 500, achalia mbali gharama za matibabu karibu milion 30 kwa dawa tu)
 
Akili zako ziko makarioni au tumboni.... Kenya,Malawi,Zambia,Egypti,Tunis,Ivory coast na Libya
kulikuwa na watu wenye nyodo kama wewe, lakini Je'leo wako wapi? wote wamezolewa na upepo wa mabadiliko ya nguvu ya umma

Tatizo huwa mnakalilishwa historia nusu nusu, leo nenda Kenya, Egypt, na Libya uulize nini kilifuata baada ya mapambano? unadhani ni kama fairy old tales zenye happy ending? Hayo matusi yageuze kama mimi namuambia mama yako mzazi kisha ujiulize vipi kama nisinge yatamka?
 
jmushi1 hujamuelewa nduka. Hawa ni wale waliolewa ulevi wa sumu ya mihadhara inayohubiri chuki badala ya amani kama hiyo dini ya jangwani inavopenda kujitambulisha na ndivo tungetegemea wawe lakini matendo yao, kauli zao na husuda zao zaonyesha ni watu wa vita chuki na hila za kisiasa zilizofunikwa kwa mwanvuli wa dini ya amani feki. Wanafikiri watanzania hawawezi kuungana nje ya hizo fikra potofu za kidini na kuwaondoa hao watawala waovu wanaowashabikia kwa njaa zao na kutoelewa kwao. Wanafikiri wataweza kuzuia nguvu ya umma kwa kuwalaghai watanzania wa imani hiyo ya jangwani kuwa huo umma ni maadui zao hivo na wenyewe waungane kuwapapinga hii ndiyo nguvu potufu anayoota huyo ndugu yetu na hao waovu wenzake.
Hawa nao watapitiwa kama upepo kwani tumeona huko mashariki ya kati walikoweka hizo nguvu zao potofatu wamekuja kuwatimua mchana mchana na nguvu ya umma. Nguvu ya umma ni zaidi ya wigo wa kidini na siasa dhaifu za chuki. Daima watashindwa tu wapende wasipende. Nguvu ya umma ni haki hizo zingine ni dhulma na upotoshaji ambao daima unashindwa tu maana haki siku zote inashinda. Unaweza kufanya mahubiri na kupaza sauti kuwa mawazo yako ni haki lakini haki yenyewe siku moja inakuumbua tu kama ilivomuumbua Ghadafi na wadhalimu wenzake.
 
1. Dr Wilbroad Slaa - mkataba wa kufasidi ruzuku halali ya CHADEMA kujilipa mshahara wa mamilioni.
2. Samuel Sitta - Matumizi mabaya ya fedha za ofisi ya mbunge(ametumia umia zaidi ya Milioni 500, achalia mbali gharama za matibabu karibu milion 30 kwa dawa tu)
Te teh teh!Mkuu naona hauko serious kabisa,tafadhali sitaki nijutie kujikita kwenye mjadala huu.Sitaki nijutie muda wangu.Huo ndiyo ushahidi wa ufisadi?Please be serious otherwise tuwaachie wengine wanaotaka kuchangia waendelee kufanya hivyo.
Yani dili moja tu la RA vs ruzuku ya CDM?Ebu quantify hayo maelezo yako hapo juu,then baada ya hapo tuangalie ni kivipi ruzuku ni ufisadi.Na kama matumizi ya ruzuku hiyo yako kinyume na taratibu zao ndani ya chama chao(jambo ambalo sijalisikia),then hayo ni matatizo ya wanachadema na uwaachie wanachadema,pili pili isiyokuwasha....Kama ni ufisadi wenu ccm,ukweli ni kwamba unaliangamiza Taifa na ndiyo umetufikisha hapa tulipo.Pia unaweza kuwa unakumbukumbu ndogo sana ama ni makusudi tu.
 
jmushi1 hujamuelewa nduka. Hawa ni wale waliolewa ulevi wa sumu ya mihadhara inayohubiri chuki badala ya amani kama hiyo dini ya jangwani inavopenda kujitambulisha na ndivo tungetegemea wawe lakini matendo yao, kauli zao na husuda zao zaonyesha ni watu wa vita chuki na hila za kisiasa zilizofunikwa kwa mwanvuli wa dini ya amani feki. Wanafikiri watanzania hawawezi kuungana nje ya hizo fikra potofu za kidini na kuwaondoa hao watawala waovu wanaowashabikia kwa njaa zao na kutoelewa kwao. Wanafikiri wataweza kuzuia nguvu ya umma kwa kuwalaghai watanzania wa imani hiyo ya jangwani kuwa huo umma ni maadui zao hivo na wenyewe waungane kuwapapinga hii ndiyo nguvu potufu anayoota huyo ndugu yetu na hao waovu wenzake.
Hawa nao watapitiwa kama upepo kwani tumeona huko mashariki ya kati walikoweka hizo nguvu zao potofatu wamekuja kuwatimua mchana mchana na nguvu ya umma. Nguvu ya umma ni zaidi ya wigo wa kidini na siasa dhaifu za chuki. Daima watashindwa tu wapende wasipende. Nguvu ya umma ni haki hizo zingine ni dhulma na upotoshaji ambao daima unashindwa tu maana haki siku zote inashinda. Unaweza kufanya mahubiri na kupaza sauti kuwa mawazo yako ni haki lakini haki yenyewe siku moja inakuumbua tu kama ilivomuumbua Ghadafi na wadhalimu wenzake.

Hoja ni moja tu, nani kakuambia umma ni wa Slaa, Mbowe na Lissu peke yao? kwani sisi hata tukiwa dhaifu kama unavyoaminishwa/kukaririshwa sio umma? au ni nani anayeamua kuwa nani awe umma na nani asiwe umma? rejea hapo juu, regardless ya nguvu ya umma wenu na sisi tuna umma wetu na ikifika kwenye kupambana tutapambana be informed brother.
 
Yani dili moja tu la RA vs ruzuku ya CDM?Ebu quantify hayo maelezo yako hapo juu,then baada ya hapo tuangalie ni kivipi ruzuku ni ufisadi..

Kwangu mimi haijalishi umefasidi kiasi gani, fisadi ni fisadi tu, pili sijasema ruzuku ni ufisadi ila kumlipa Slaa mamilioni kwa mikataba ya siri ni ufisadi. Kama Slaa angekuwa msafi angekuja na mkataba huu hadharani kama kawaida yake kutoa mabomu hadharani.
 
Hoja ni moja tu, nani kakuambia umma ni wa Slaa, Mbowe na Lissu peke yao? kwani sisi hata tukiwa dhaifu kama unavyoaminishwa/kukaririshwa sio umma? au ni nani anayeamua kuwa nani awe umma na nani asiwe umma? rejea hapo juu, regardless ya nguvu ya umma wenu na sisi tuna umma wetu na ikifika kwenye kupambana tutapambana be informed brother.
Ndiyo maana kuna watu bado hawaamini kuwa mlishinda uchaguzi uliopita kiuhalali,wanadai mlichakakchua,ukweli ni kwamba nachelea kusema inaweza kuwa kweli kwasababu hamna umma ulioko nyuma ya ufisadi ndugu yangu,mnalazimishia kuwa mna umma,hakuna kitu.Na hao watoto wenye njaa mmewaleta ili mseme mna umma?
Mwenzako Majimshindo ndio anakuja na hoja dhaifu kabisa kuwa eti wameenda kujifunza.Mko very out of touch.
Kwa taarifa yako,kudai kuwa mna umma ni sawa na kusema youre delusional.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwangu mimi haijalishi umefasidi kiasi gani, fisadi ni fisadi tu, pili sijasema ruzuku ni ufisadi ila kumlipa Slaa mamilioni kwa mikataba ya siri ni ufisadi. Kama Slaa angekuwa msafi angekuja na mkataba huu hadharani kama kawaida yake kutoa mabomu hadharani.
Siwezi kuwasemea,na pia siwezi kukujibu kwasababu sioni ushahidi.Si umesema unao?Uweke hapa basi.
 
1.jpg


Hao watoto walibana nafasi watu wenye mawazo pevu wasiingie kujadili katiba.

Kwa wasomi na wanazuoni hiyo katiba ata wasomi bado wote hawajauelewa kwa sababu ya St Kayumba sasa hao watoto wamepewa sh ngapi pili wameletwa na nani haiwezekani mtu mwenye akili timamu ukajumuika na hao watoto ambao ata katiba hawajui maana yake.
Namuunga mkono Mh Lisu kutoka nje.
 
Mafisadi wameshauteka mjadala wa Katiba mpya. Sioni sababu yoyote ya Watanzania kuendelea kupoteza muda wetu katika kuchangia mjadala huu ambao mwisho wake ni utungaji wa katiba ambayo itakuwa haina maslahi yoyote kwa Watanzania.

Inasikitisha sana hali hii labda watu ambao bado wana heshima ndani ya nchi yetu kama vile Warioba, SAS na wengineo wazungumzie tatizo hili kubwa na kumuonya Kikwete na kundi lake la mafisadi kwamba Katiba inayotungwa ni katiba ya Watanzania wote bila kujali itikadi zetu hivyo kuwe na uhuru wa ukweli katika kukusanya mawazo bila vitisho vya aina yoyote ile au vurumai zitakazofanywa na mafisadi. Vinginevyo kushiriki katika mjadala huu kwa maoni yangu ni kupoteza muda tu.
 
JMushi1,nashukuru kwa kutoa maoni yako juu ya maoni yangu.

Mara zote ninajitahidi kwamba nisiendeshwe na ushabiki kutoa mchango wangu,ama kujadili suala lolote lihusulo maslahi ya Taifa letu.
Na kuhusu kutumia title ya Padre ninapomzungumzia Padre Dr.W.Slaa,nadhani ni athari za mafundisho niliyopewa nikiwa katika u katekumeni,au yale mafunzo ya kanisani ili kupata sakramenti mbalimbali zinazotolewa ndani ya Kanisa katoliki....niliweza kujifunza kwamba kuna sakramenti saba,zikiwemo NDOA na UPADRE,na hii sakramenti ya NDOA ina hadhi sawa na sakramenti ya u PADRE,
Katika kanisa Katoliki,mtu akishaoa ama kuolewa,atabakia kuwa katika hesabu ya ndoa hiyo hiyo(kama hakudanganya kufungishwa ndoa hiyo)mpaka atakapofariki
Pia atabakia kuwa Padre maisha yake yote(uchunguzi wa kina hufanyika ili asiingie upadre kama kuna vitu vinavyomzuia asiwe Padre,mengine huachiwa Mungu),isipokuwa muda fulani anaweza tu kwa wakati fulani ama maishani kupunguziwa uwezo fulani (kama vile kuungamisha,kuadhimisha ibada ya Sakramenti ya Ekaristi takatifu),lakini hatoondolewa u Padre wake kama sakramenti ya msingi aliyoipata ndani ya kanisa,hivyo kuendelea kuwa Padre maisha yake yote.Na pia U Padre ndio cheo ambacho ni BASIC kwa watumishi wote ndani ya kanisa katoliki kuanzia ngazi ya Padre,hata mtu awe askofu,awe Kardinal,awe Papa(kama ilivyo kwenye fani ya udaktari wa tiba,kuanzia digrii moja wewe ni dr,master ni dr,Phd ni dokta,Profesor bado ni dokta)
Hivyo basi,kwangu mimi kutumia Padre Slaa,ndio maadili yangu niliyolelewa nayo na kuyaelewa,na sioni ni kosa.Siongeil hili kwa sababu unazozisema wewe,nadhani kwa maelezo haya,Padre Dr.W Slaa atakuwa mtu wa nafasi ya juu kuweza kunisahihisha kama mafundisho yangu niliyoyaelewa ya tatizo....anaweza(ama mtu yeyote anaweza kunisahihisha)
anhaa nilisahau,na by the way,Padre kwa kiswahili maana yake ni BABA,na kwa kiingereza ni FATHER
Asante
Hivi una habari kuwa huko Haiti mtu aliyewahi kuwa mwanamziki ameshinda kiti cha urais?....mtamkashifu sana dr Slaa,lakini ukweli karibu ya umma wa watanzania wengi wameamua oneday huyu jamaa aje kuwa rais wa Tanzania. We jifanye tu ubishi wa kiburi....lakini oneday utakubaliana na maneno yangu!. Hata huko Haiti kulikuwa na watu kama wewe waliokuwa wanamponda huyo mwanamziki,lakini siku ya mwisho wananchi ndiyo waliamua....kazi kwako baki na chuki zako uone zitakufikisha wapi!
 
Back
Top Bottom