Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,654
- 15,983
Nimemfuatilia sana na aina ya siasa zake kwakweli kuwa kiongozi hafai. Anachoweza ni kuwapandisha midadi ya kisiasa wafuasi wa CHADEMA kwa ile style yake ya kuongea kiswahili cha kinyaturu na kubishana na polisi basii.
Kama hamtaki endeleeni kumuamini huyo mropokaji wenu hawezi kitu.
Kama hamtaki endeleeni kumuamini huyo mropokaji wenu hawezi kitu.