LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,353
- 3,227
Hakuna haja ya kumlaumu Lissu hata kidogo!
Wa kulaani ni ccm mpaka kiama chao kije na nafikiri haiko mbali hata kidogo!
Eti miaka 50 ya Uhuru! Uhuru ipi????
Na hata wale wanainchi wa Singida Mashariki ningeomba tu wawe waelewa na wajuwe nani kashikilia mpini wa sime!
Wa kulaani ni ccm mpaka kiama chao kije na nafikiri haiko mbali hata kidogo!
Eti miaka 50 ya Uhuru! Uhuru ipi????
Na hata wale wanainchi wa Singida Mashariki ningeomba tu wawe waelewa na wajuwe nani kashikilia mpini wa sime!