Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Leo, Alhamisi Septemba 18.2025 kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu inaendelea tena kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam
Leo Jamhuri itaanza kujibu mapingamizi mawili yaliyowekwa na Tundu Lissu, ikiwemo pingamizi linalohusu uhalali wa hati ya mashtaka
Kutoka Mahakamani hapo, tunakusogezea kuona namna Tundu Lissu alivyofikishwa leo, kama ilivyo kawaida amefikishwa chini ya ulinzi mkali wa maafisa wa Jeshi la Magereza, huku viunga vya Mahakama hiyo kwa ujumla ulinzi wa maafisa wa Jeshi la Polisi nao ukiimarishwa.
Leo Jamhuri itaanza kujibu mapingamizi mawili yaliyowekwa na Tundu Lissu, ikiwemo pingamizi linalohusu uhalali wa hati ya mashtaka
Kutoka Mahakamani hapo, tunakusogezea kuona namna Tundu Lissu alivyofikishwa leo, kama ilivyo kawaida amefikishwa chini ya ulinzi mkali wa maafisa wa Jeshi la Magereza, huku viunga vya Mahakama hiyo kwa ujumla ulinzi wa maafisa wa Jeshi la Polisi nao ukiimarishwa.