Ouch!Huyo Sosopi ukimuuliza Maswali kuhusu kilichomo kwenye hiyo sera Hana anachokijua
Wamemtafuta Mchaga mmoja Mjanja Mjanja pale Mzumbe campus ya Dsm ( namhifadhi Kwa jina ) akapewa kandarasi ya kutengeneza hiyo sera then akawaandalia executive summary ya hiyo sera ndio wakaenda nayo kwenye walichokiita Uzinduzi
Akae huko huko msaliti huyo walahiDah,hivi huyu jamaa ndo kahamia ulaya eeeh!!?
Amekuwa kama kifuto walahiMwili wake umeanza kurudi,Mungu ni mkubwa!
siyo kila kitu utawekewa hapa mjombaKiweke hapa tukijue, km chama chama ni cha wananchi kwann kisiwekwe wazi? Ila km ni cha watu binafsi bhac wapo sahihi kuficha mambo yao
True walahiHivi kulikuwa na haja gan ya kumpelekea hayo ma hardcopy wakat wangetuma softcopy tuu kupitia e-mail au hata watsapp tuu. Halafu baadae mnaanza kunyooshea wengine vidole kuwa wana matumizi mabaya ya rasilimali.
Aliyetufunga maarifa yetu kweli alituweza kisawa sawa
Sasa Mwanamke kinachokuwasha nini..!!?
Wawe wamekodi mtu akawaandikia hizo sera wawe wamezikopi sehemu..kinachokuuma nini Bibie?
Idiot dimwit.
Chuma hichoMh Tundu Antipas Lissu akikabidhiwa nakala za Sera za Chama na Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Mhe Patrick Sosopi leo nyumbani kwake Tienen, Brussels
.
#SeraMbadala
#RoadTo2020
View attachment 884742
thamani ya lissu ni kubwa kuliko hii ccm yako , ni thamani kubwa kuliko wewe binafsi pamoja na ndugu zako wote walio hai na waliokufa wakiwemo wazazi wako wote wawili .Akae huko huko msaliti huyo walahi
Kweli wahuni sii watu wazuri, kesho ukiwauliza mapato na matumizi hutokuta kiasi kilicho tumika kufanyia shughuli hiiTrue walahi
Na picha ndio muhimu kwao
Km lissu ni Mungu au Malaika bhac upo sahihi, Ila km ni muhuni flani hv amazing bhac nakuonea huruma sana.thamani ya lissu ni kubwa kuliko hii ccm yako , ni thamani kubwa kuliko wewe binafsi pamoja na ndugu zako wote walio hai na waliokufa wakiwemo wazazi wako wote wawili .
Unapoandika kwenye jukwaa hili unapaswa kuwa na adabu sana vinginevyo utadhalilika vibaya mno ! hili ni onyo langu la mwisho kabisa kwako
Nakumbuka 2015 pale jangwani mgombea wao aliwaambia wananchi wakasome ilani ya uchaguzi kwenye website; hivi sasa hawana website hadi mtu atumwe kwa kodi za watanzania kwenda kupeleka nakala tatu?Dah...mamilioni ya kodi za walalahoi yametumika kupeleka nakala 3 tu...dah....
Muda huo huo zishatumika bilioni kadhaa kununua drimulainDah...mamilioni ya kodi za walalahoi yametumika kupeleka nakala 3 tu...dah....
Taasisi binafsi ndio hufanya hivyo, ila km chama cha wananchi kuna haja gan ya kufanya hivyo? Mnaficha ili iweje sasa?siyo kila kitu utawekewa hapa mjomba
Yule RC kule Iringa aliyetembea km 3000 plus na msafara wa Magari 25 atakuwa ametumia ngapi vile?Kwenye docs wakati wa ukaguzi wa matumizi ya fedha utakuta safari hiyo iligharimu Tsh milioni 270!
Wamekusikia subiri post mpya za udisii....Lisu namuombea uzima, and i hope atarudi na siasa za kistaarabu, names like rubbish report, ma ccm, juma pondamali etc were provocative, he should abstain from using them. Ain't healthy.
This is a very big conspirancy, but i totally doubt magufuli had anything to do with it, wauwaji wa serikali wasingemkosa, ila nahisi kuna extremists wa hatari sana ndani ya serikali, and maybe they are the ones responsible, or just another killers with other motives of dividing and conquering them.
Tuwe macho sana wazee.
Peace
Kwa nini asijue kilichomo? Kilichomo hakisomeki au Sosopi hajui kusoma?Huyo Sosopi ukimuuliza Maswali kuhusu kilichomo kwenye hiyo sera Hana anachokijua
Wamemtafuta Mchaga mmoja Mjanja Mjanja pale Mzumbe campus ya Dsm ( namhifadhi Kwa jina ) akapewa kandarasi ya kutengeneza hiyo sera then akawaandalia executive summary ya hiyo sera ndio wakaenda nayo kwenye walichokiita Uzinduzi