"Miaka 59 tangu tupate Uhuru mtu bado unahubiri kuleta maji? Sasa kazi ya Serikali ni Nini?"
Hizi comment zinafurahisha
Jf imekua kilinge cha mazuzu wa ufipa
UpcomingMwanasiasa Ghali?? Hehe bavicha bwana.
Amekosekana Mtikila tu mbona maccm mngeomba pooMwanasiasa Ghali?? Hehe bavicha bwana.
LISSU is another level, siyo mtu wa kumlinganisha na kajiwe ka chatoUkipita ofisi na taasisi za umma ni Lissu. Bunge ni Lissu, taasisi binafsi Lissu. Vijiwe vya kahawa, mipira, magazeti na kashata Lissu, Redio Lissu, TV Lissu. Huenda ndiye mtu maarufu na watuamani zaidi kwa wanasiasa
Hongera Lissu, pole kwa yaliyokukuta lakini tambua kuwa dhahabu haing'ai bali imepitishwa motoni haya yote ni njia ya kwenda katika neema. Mungu akulinde.
Ya kale hayanuki LISSU NDIYE MWANASIASA GHALI TANZANIA NA AFRIKA MASHARIKI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dadeeek jiwe mfalme mwenye laana anamwogopa lissuUkipita ofisi na taasisi za umma ni Lissu. Bunge ni Lissu, taasisi binafsi Lissu. Vijiwe vya kahawa, mipira, magazeti na kashata Lissu, Redio Lissu, TV Lissu. Huenda ndiye mtu maarufu na watuamani zaidi kwa wanasiasa
Hongera Lissu, pole kwa yaliyokukuta lakini tambua kuwa dhahabu haing'ai bali imepitishwa motoni haya yote ni njia ya kwenda katika neema. Mungu akulinde.
Ya kale hayanuki LISSU NDIYE MWANASIASA GHALI TANZANIA NA AFRIKA MASHARIKI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulisema kweliUkipita ofisi na taasisi za umma ni Lissu. Bunge ni Lissu, taasisi binafsi Lissu. Vijiwe vya kahawa, mipira, magazeti na kashata Lissu, Redio Lissu, TV Lissu. Huenda ndiye mtu maarufu na watuamani zaidi kwa wanasiasa
Hongera Lissu, pole kwa yaliyokukuta lakini tambua kuwa dhahabu haing'ai bali imepitishwa motoni haya yote ni njia ya kwenda katika neema. Mungu akulinde.
Ya kale hayanuki LISSU NDIYE MWANASIASA GHALI TANZANIA NA AFRIKA MASHARIKI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhuru ni moja ya kipaumbele chakeLisu ni TUNU na zawadi kwetu Watz, yeye anapitia kwenye tanuru la moto ili sisi tufaidi matunda ya nchi yetu na uhuru wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
October Ni karamu ya kulisambaratisha jiwe lisiumize Tena watuCHADEMA ni mpango wa Mungu.
Kama zipi hizo za kuwafurahisha vijana wa vijiweni?Huko ni kujifurahisha kwa kitu kisichokuwepo na ambacho hakitakuwepo. Bado saaaaaaana kwa VVU(Vyama Vya Upinzani) kuwa na uwezo na weledi wa kutosha kushika Dola.
Ukifanya hata tathmini fupi tu katika Kampeni zinazoendelea unagundua kuwa VVU bado havijawa na uwezo wa kujenga hoja madhubuti za kuwashawishi wenye akili timamu ili wawaamini. Hoja nyingi wanazotoa ni zile za kuwafurahisha zaidi vijana wa vijiweni.
VVU ni bado saaaaaaana.
Bavicha huyu!Ya kale hayanuki LISSU NDIYE MWANASIASA GHALI TANZANIA NA AFRIKA MASHARIKI.