Hili tunda linaitwa NGULULU,huliwa na watoto kama zabibu lina sukari na mlendamlenda,wakubwa pia tunayala na kuyatumia kama gundi ofisini kwa sababu ya kunatanata kwake,yanapatikana zaidi Moshi(v)vijiji vya Chemchem na Mikocheni.
Moshi huoteshwa mpakani mwa shamba na mti wake ni mgumu sana,majani yake huliwa na mbuzi...mshana jr vipi kiimani mti wake au hilo tunda vina kazi yoyote?
Moshi huoteshwa mpakani mwa shamba na mti wake ni mgumu sana,majani yake huliwa na mbuzi...mshana jr vipi kiimani mti wake au hilo tunda vina kazi yoyote?