Tunaweza kuishitaki TANESCO?

Jeanclaude

JF-Expert Member
Aug 30, 2013
259
237
Wanjf,

Tangu jana asubuhi Tanesco bila taarifa walikata umeme maeneo ya Kibangu Ubungo hadi leo hawajarudisha nishati hiyo muhimu. Kwa kukata umeme (bila taarifa), TANESCO imetupa madhara mengi ikiwemo ya kisakolojia na mipango (kiuchumi). Je, kuna uwezekano wa sisi tulioadhirika na uzembe huu kuchukua hatua za kisheria kudai fidia? Hatutaki kuilaumu, kama ni lawama wamezoea, wana ngozi ngumu kustahimili lawama. Tunataka sheria ifanye kazi, ushauri bandugu!
 
Tatizo we don't have Service Level Agreement. .(SLA ) kwahiyo hatuna jinsi ya kuwashitaki zaidi ya kusubiri waombe samahani tu
 
Wanjf,

Tangu jana asubuhi Tanesco bila taarifa walikata umeme maeneo ya Kibangu Ubungo hadi leo hawajarudisha nishati hiyo muhimu. Kwa kukata umeme (bila taarifa), TANESCO imetupa madhara mengi ikiwemo ya kisakolojia na mipango (kiuchumi). Je, kuna uwezekano wa sisi tulioadhirika na uzembe huu kuchukua hatua za kisheria kudai fidia? Hatutaki kuilaumu, kama ni lawama wamezoea, wana ngozi ngumu kustahimili lawama. Tunataka sheria ifanye kazi, ushauri bandugu!

Muhongo ni msomi kenge kabisa niliyeoata kumuona. Ameingia na sera ya usiri. Kwamba wananchi wasipewe taarifa yoyote kuhusu chochote. Atakaeuliza ataambiwa wewe hujasoma, huna vyeti vingi kama vya kwangu.

Muhongo amekuja na jipya..kwamba hakuna kusema kwamba kuna mgao au hitilafu. Nyamaza kimya...hawa wananchi ni bata tu hawahitaji taarifa. Hawahitaji kujua kama kuna mgao au matengenezo sehemu fulani. Wewe KATA TU UMEME watajiju.

Huyo ndo Prof. Muhongo, msomi wa kiwango cha juu kabisa. Mpendwa wa Kikwete aliyemchagua kuwa mbunge asubuhi na kumpa uwaziri jioni.

Umeme umekatika maeneo ya Ubungo mpaka Mbezi Mwisho tangu jana asubuhi mpaka sasa haujarudi. Hakuna maelezo wala nini.
Ukiwapigia emergency service wanasema tunajua kuna tatizo tunashughulikia. Ukipiga tena wanakwambia tatizo sio lako tu...na wengine pia wana matatizo hivyo subiri.

Hapa ndipo tulipofika. Kindakindaki.
 
Muhongo ni msomi kenge kabisa niliyeoata kumuona. Ameingia na sera ya usiri. Kwamba wananchi wasipewe taarifa yoyote kuhusu chochote. Atakaeuliza ataambiwa wewe hujasoma, huna vyeti vingi kama vya kwangu.

Muhongo amekuja na jipya..kwamba hakuna kusema kwamba kuna mgao au hitilafu. Nyamaza kimya...hawa wananchi ni bata tu hawahitaji taarifa. Hawahitaji kujua kama kuna mgao au matengenezo sehemu fulani. Wewe KATA TU UMEME watajiju.

Huyo ndo Prof. Muhongo, msomi wa kiwango cha juu kabisa. Mpendwa wa Kikwete aliyemchagua kuwa mbunge asubuhi na kumpa uwaziri jioni.

Umeme umekatika maeneo ya Ubungo mpaka Mbezi Mwisho tangu jana asubuhi mpaka sasa haujarudi. Hakuna maelezo wala nini.
Ukiwapigia emergency service wanasema tunajua kuna tatizo tunashughulikia. Ukipiga tena wanakwambia tatizo sio lako tu...na wengine pia wana matatizo hivyo subiri.

Hapa ndipo tulipofika. Kindakindaki.

Pole sana kiongozi. Emergency Tanesco ni hopless kabisa!
 
Maeneo ya mabibo makuburi toka saa nne asubuhi Jana 11/01/14 mpaka muda huu hakuna cha TAARIFA YOYOTE WALA NINI NA HATUJUI UNARUDI MUDA GANI NA LINI!!
 
umeshindwa kumshitaki lowasa itakuwa TANESCO???
Mkuu baki kwenye mada. Lowasa amenifanya nini? Tanesco ni viburi na waliojaa dharau hawajali wateja tangu jana hakuna umeme bila taarifa mwaka huu tunagawana hiyo asilimia waliopandisha! Wanasheria tusaidieni tupate haki mahakamani.
 
Mkuu baki kwenye mada. Lowasa amenifanya nini? Tanesco ni viburi na waliojaa dharau hawajali wateja tangu jana hakuna umeme bila taarifa mwaka huu tunagawana hiyo asilimia waliopandisha! Wanasheria tusaidieni tupate haki mahakamani.

Pole hujui ulipo jikwaa, bali unapoangukia. Hebu jaribu na huyo mwanasheria wako. CCM madarakani na EL yupo, unauliza TANESCO kwani ilijianzisha???
 
Badala ya kuchukua hatua tumeishia kulalamika kwenye mitandao tu... Poor us!
 
Back
Top Bottom