Tunawazidi KQ kwa haya

Tunawazidi KQ kwa haya

Meshe

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2011
Posts
398
Reaction score
511
Msaada: NI KIPI HASWA AMBACHO TANZANIA IMEIZIDI KENYA?🤔

1. Kwenye taarifa ya innovation duniani (WIPO) Tanzania ipo nafasi ya 120, wakati Kenya ipo nafasi ya 96.

2. Kwenye Human Development Index, Tanzania ipo nafasi ya 165, Kenya wapo nafasi ya 143.

3. Kwenye taarifa ya Maendeleo ya Vijana Duniani, Kenya ipo nafasi ya 143 wakati Tanzania tupo nafasi ya 166.

4. Kenya ni moja kati ya nchi tatu zinazozalisha tafiti nyingi Africa, Tanzania hata top ten sidhani kama tupo.

5. Chuo chetu bora kwa tafiti na kinachotutoa kimasomaso ni Muhimbili, kipo nafasi ya 87 Africa na nafasi ya 6,594 Duniani; kwenye kundi la Q2, second best kwa lugha nyingine. Wakati huo University of Nairobi ipo nafasi ya 34 Africa, nafasi ya 4,674 Duniani, na kama haitoshi kipo kwenye Q1, yani best quartile (kwa mujibu wa Scimago report 2025).

6 Mpaka kufikia mwaka 2020, Kenya ilikuwa na jumla ya shule za msingi za umma 23,600 zenye wanafunzi 8,600,000 na walimu 212,000.

Tanzania mpaka 2024 tulikuwa na shule za msingi za umma 17,400 zenye wanafunzi 11,000,000 na walimu 176,500.

Yani sisi tuna wanafunzi karibu milioni tatu zaidi ya Kenya, lakini Kenya wana shule za msingi 5,000 zaidi yetu, na karibu walimu 40,000 zaidi yetu. Hawa ndio watu uliowapita?🤔🤔

7. Jumla ya kompyuta kwenye shule za msingi za umma Kenya mpaka 2020 ilikuwa 836,000, Tanzania ukichanganya mpaka smartphones za walimu unapata devices 260,000.

8. Mpaka 2020 Kenya ilikuwa na shule za sekondari za umma 9,400 zenye wanafunzi 3,600,000 wanaofundishwa na walimu 115,000.

Tanzania mpaka mwaka jana tulikuwa na shule za sekondari za umma 4,500 zenye wanafunzi 3,000,000+ na walimu 96,000.

9. Mpaka 2020 kulikuwa na zaidi ya kompyuta 62,000 kwenye shule za sekondari za umma Kenya, Tanzania mpaka kufika mwaka jana tulikuwa na kompyuta devices 16,000 tu kwenye shule zetu zote za sekondari za umma.

10. Asilimia 70% ya labor force ya Kenya ina elimu post secondary, ama degree au masters au PhD.

Asilimia 70% ya labor force ya Tanzania ina elimu ya msingi.

Sasa wazee, hilo eneo ambalo sisi tumewazidi Kenya tunalojisifia nalo kiasi hiki kila kukicha ni lipi?🤔🤔🤔
 
Msaada: NI KIPI HASWA AMBACHO TANZANIA IMEIZIDI KENYA?🤔

1. Kwenye taarifa ya innovation duniani (WIPO) Tanzania ipo nafasi ya 120, wakati Kenya ipo nafasi ya 96.

2. Kwenye Human Development Index, Tanzania ipo nafasi ya 165, Kenya wapo nafasi ya 143.

3. Kwenye taarifa ya Maendeleo ya Vijana Duniani, Kenya ipo nafasi ya 143 wakati Tanzania tupo nafasi ya 166.

4. Kenya ni moja kati ya nchi tatu zinazozalisha tafiti nyingi Africa, Tanzania hata top ten sidhani kama tupo.

5. Chuo chetu bora kwa tafiti na kinachotutoa kimasomaso ni Muhimbili, kipo nafasi ya 87 Africa na nafasi ya 6,594 Duniani; kwenye kundi la Q2, second best kwa lugha nyingine. Wakati huo University of Nairobi ipo nafasi ya 34 Africa, nafasi ya 4,674 Duniani, na kama haitoshi kipo kwenye Q1, yani best quartile (kwa mujibu wa Scimago report 2025).

6 Mpaka kufikia mwaka 2020, Kenya ilikuwa na jumla ya shule za msingi za umma 23,600 zenye wanafunzi 8,600,000 na walimu 212,000.

Tanzania mpaka 2024 tulikuwa na shule za msingi za umma 17,400 zenye wanafunzi 11,000,000 na walimu 176,500.

Yani sisi tuna wanafunzi karibu milioni tatu zaidi ya Kenya, lakini Kenya wana shule za msingi 5,000 zaidi yetu, na karibu walimu 40,000 zaidi yetu. Hawa ndio watu uliowapita?🤔🤔

7. Jumla ya kompyuta kwenye shule za msingi za umma Kenya mpaka 2020 ilikuwa 836,000, Tanzania ukichanganya mpaka smartphones za walimu unapata devices 260,000.

8. Mpaka 2020 Kenya ilikuwa na shule za sekondari za umma 9,400 zenye wanafunzi 3,600,000 wanaofundishwa na walimu 115,000.

Tanzania mpaka mwaka jana tulikuwa na shule za sekondari za umma 4,500 zenye wanafunzi 3,000,000+ na walimu 96,000.

9. Mpaka 2020 kulikuwa na zaidi ya kompyuta 62,000 kwenye shule za sekondari za umma Kenya, Tanzania mpaka kufika mwaka jana tulikuwa na kompyuta devices 16,000 tu kwenye shule zetu zote za sekondari za umma.

10. Asilimia 70% ya labor force ya Kenya ina elimu post secondary, ama degree au masters au PhD.

Asilimia 70% ya labor force ya Tanzania ina elimu ya msingi.

Sasa wazee, hilo eneo ambalo sisi tumewazidi Kenya tunalojisifia nalo kiasi hiki kila kukicha ni lipi?🤔🤔🤔
Huo wote ni utumbo, issue ni kwamba wale wapumbavu wao wakirudi Tanzania hawatarudi tena Kenya, hizo porojo zingine ni irrelevant. Tanzania inaizidi Kenya kwa mambo mengi sana. Kwa Tanzania Kenya ni km chokoraa tu
 
Huo wote ni utumbo, issue ni kwamba wale wapumbavu wao wakirudi Tanzania hawatarudi tena Kenya, hizo porojo zingine ni irrelevant. Tanzania inaizidi Kenya kwa mambo mengi sana. Kwa Tanzania Kenya ni km chokoraa tu
Vitaje hivo vitu mkuu 😀😀Sio unasema Sisi tuna Almasi wao hawana
 
Msaada: NI KIPI HASWA AMBACHO TANZANIA IMEIZIDI KENYA?🤔

1. Kwenye taarifa ya innovation duniani (WIPO) Tanzania ipo nafasi ya 120, wakati Kenya ipo nafasi ya 96.

2. Kwenye Human Development Index, Tanzania ipo nafasi ya 165, Kenya wapo nafasi ya 143.

3. Kwenye taarifa ya Maendeleo ya Vijana Duniani, Kenya ipo nafasi ya 143 wakati Tanzania tupo nafasi ya 166.

4. Kenya ni moja kati ya nchi tatu zinazozalisha tafiti nyingi Africa, Tanzania hata top ten sidhani kama tupo.

5. Chuo chetu bora kwa tafiti na kinachotutoa kimasomaso ni Muhimbili, kipo nafasi ya 87 Africa na nafasi ya 6,594 Duniani; kwenye kundi la Q2, second best kwa lugha nyingine. Wakati huo University of Nairobi ipo nafasi ya 34 Africa, nafasi ya 4,674 Duniani, na kama haitoshi kipo kwenye Q1, yani best quartile (kwa mujibu wa Scimago report 2025).

6 Mpaka kufikia mwaka 2020, Kenya ilikuwa na jumla ya shule za msingi za umma 23,600 zenye wanafunzi 8,600,000 na walimu 212,000.

Tanzania mpaka 2024 tulikuwa na shule za msingi za umma 17,400 zenye wanafunzi 11,000,000 na walimu 176,500.

Yani sisi tuna wanafunzi karibu milioni tatu zaidi ya Kenya, lakini Kenya wana shule za msingi 5,000 zaidi yetu, na karibu walimu 40,000 zaidi yetu. Hawa ndio watu uliowapita?🤔🤔

7. Jumla ya kompyuta kwenye shule za msingi za umma Kenya mpaka 2020 ilikuwa 836,000, Tanzania ukichanganya mpaka smartphones za walimu unapata devices 260,000.

8. Mpaka 2020 Kenya ilikuwa na shule za sekondari za umma 9,400 zenye wanafunzi 3,600,000 wanaofundishwa na walimu 115,000.

Tanzania mpaka mwaka jana tulikuwa na shule za sekondari za umma 4,500 zenye wanafunzi 3,000,000+ na walimu 96,000.

9. Mpaka 2020 kulikuwa na zaidi ya kompyuta 62,000 kwenye shule za sekondari za umma Kenya, Tanzania mpaka kufika mwaka jana tulikuwa na kompyuta devices 16,000 tu kwenye shule zetu zote za sekondari za umma.

10. Asilimia 70% ya labor force ya Kenya ina elimu post secondary, ama degree au masters au PhD.

Asilimia 70% ya labor force ya Tanzania ina elimu ya msingi.

Sasa wazee, hilo eneo ambalo sisi tumewazidi Kenya tunalojisifia nalo kiasi hiki kila kukicha ni lipi?🤔🤔🤔

Aisee kama hizi data zako ni za kweli basi wakenya wametuacha mbali sana.
Halafu hapa Tanzania kuna walimu wengi sana wakenya wanafundisha katika shule zetu za Sekondari lakini sijawahi sikia Mtanzania anafundisha kwenye Shule ya Sekondari huko Kenya
 
States ziko 193, sie tunakuwa 166! kha, kuna shida mahala ukiondoa somalia palestina libya iraq afganistan sie ndo wa mwisho,
 
Msaada: NI KIPI HASWA AMBACHO TANZANIA IMEIZIDI KENYA?🤔

1. Kwenye taarifa ya innovation duniani (WIPO) Tanzania ipo nafasi ya 120, wakati Kenya ipo nafasi ya 96.

2. Kwenye Human Development Index, Tanzania ipo nafasi ya 165, Kenya wapo nafasi ya 143.

3. Kwenye taarifa ya Maendeleo ya Vijana Duniani, Kenya ipo nafasi ya 143 wakati Tanzania tupo nafasi ya 166.

4. Kenya ni moja kati ya nchi tatu zinazozalisha tafiti nyingi Africa, Tanzania hata top ten sidhani kama tupo.

5. Chuo chetu bora kwa tafiti na kinachotutoa kimasomaso ni Muhimbili, kipo nafasi ya 87 Africa na nafasi ya 6,594 Duniani; kwenye kundi la Q2, second best kwa lugha nyingine. Wakati huo University of Nairobi ipo nafasi ya 34 Africa, nafasi ya 4,674 Duniani, na kama haitoshi kipo kwenye Q1, yani best quartile (kwa mujibu wa Scimago report 2025).

6 Mpaka kufikia mwaka 2020, Kenya ilikuwa na jumla ya shule za msingi za umma 23,600 zenye wanafunzi 8,600,000 na walimu 212,000.

Tanzania mpaka 2024 tulikuwa na shule za msingi za umma 17,400 zenye wanafunzi 11,000,000 na walimu 176,500.

Yani sisi tuna wanafunzi karibu milioni tatu zaidi ya Kenya, lakini Kenya wana shule za msingi 5,000 zaidi yetu, na karibu walimu 40,000 zaidi yetu. Hawa ndio watu uliowapita?🤔🤔

7. Jumla ya kompyuta kwenye shule za msingi za umma Kenya mpaka 2020 ilikuwa 836,000, Tanzania ukichanganya mpaka smartphones za walimu unapata devices 260,000.

8. Mpaka 2020 Kenya ilikuwa na shule za sekondari za umma 9,400 zenye wanafunzi 3,600,000 wanaofundishwa na walimu 115,000.

Tanzania mpaka mwaka jana tulikuwa na shule za sekondari za umma 4,500 zenye wanafunzi 3,000,000+ na walimu 96,000.

9. Mpaka 2020 kulikuwa na zaidi ya kompyuta 62,000 kwenye shule za sekondari za umma Kenya, Tanzania mpaka kufika mwaka jana tulikuwa na kompyuta devices 16,000 tu kwenye shule zetu zote za sekondari za umma.

10. Asilimia 70% ya labor force ya Kenya ina elimu post secondary, ama degree au masters au PhD.

Asilimia 70% ya labor force ya Tanzania ina elimu ya msingi.

Sasa wazee, hilo eneo ambalo sisi tumewazidi Kenya tunalojisifia nalo kiasi hiki kila kukicha ni lipi?🤔🤔🤔
Tutafika TU. Hatuna namna ila sifia ulichonacho Wala tusikate tamaa.
 
Huo wote ni utumbo, issue ni kwamba wale wapumbavu wao wakirudi Tanzania hawatarudi tena Kenya, hizo porojo zingine ni irrelevant. Tanzania inaizidi Kenya kwa mambo mengi sana. Kwa Tanzania Kenya ni km chokoraa tu
Unaweza kutaja walahu mambo matatu?
Samahani, tumsifu na kumtukuza MAMA kwanza.
 
Msaada: NI KIPI HASWA AMBACHO TANZANIA IMEIZIDI KENYA?🤔

1. Kwenye taarifa ya innovation duniani (WIPO) Tanzania ipo nafasi ya 120, wakati Kenya ipo nafasi ya 96.

2. Kwenye Human Development Index, Tanzania ipo nafasi ya 165, Kenya wapo nafasi ya 143.

3. Kwenye taarifa ya Maendeleo ya Vijana Duniani, Kenya ipo nafasi ya 143 wakati Tanzania tupo nafasi ya 166.

4. Kenya ni moja kati ya nchi tatu zinazozalisha tafiti nyingi Africa, Tanzania hata top ten sidhani kama tupo.

5. Chuo chetu bora kwa tafiti na kinachotutoa kimasomaso ni Muhimbili, kipo nafasi ya 87 Africa na nafasi ya 6,594 Duniani; kwenye kundi la Q2, second best kwa lugha nyingine. Wakati huo University of Nairobi ipo nafasi ya 34 Africa, nafasi ya 4,674 Duniani, na kama haitoshi kipo kwenye Q1, yani best quartile (kwa mujibu wa Scimago report 2025).

6 Mpaka kufikia mwaka 2020, Kenya ilikuwa na jumla ya shule za msingi za umma 23,600 zenye wanafunzi 8,600,000 na walimu 212,000.

Tanzania mpaka 2024 tulikuwa na shule za msingi za umma 17,400 zenye wanafunzi 11,000,000 na walimu 176,500.

Yani sisi tuna wanafunzi karibu milioni tatu zaidi ya Kenya, lakini Kenya wana shule za msingi 5,000 zaidi yetu, na karibu walimu 40,000 zaidi yetu. Hawa ndio watu uliowapita?🤔🤔

7. Jumla ya kompyuta kwenye shule za msingi za umma Kenya mpaka 2020 ilikuwa 836,000, Tanzania ukichanganya mpaka smartphones za walimu unapata devices 260,000.

8. Mpaka 2020 Kenya ilikuwa na shule za sekondari za umma 9,400 zenye wanafunzi 3,600,000 wanaofundishwa na walimu 115,000.

Tanzania mpaka mwaka jana tulikuwa na shule za sekondari za umma 4,500 zenye wanafunzi 3,000,000+ na walimu 96,000.

9. Mpaka 2020 kulikuwa na zaidi ya kompyuta 62,000 kwenye shule za sekondari za umma Kenya, Tanzania mpaka kufika mwaka jana tulikuwa na kompyuta devices 16,000 tu kwenye shule zetu zote za sekondari za umma.

10. Asilimia 70% ya labor force ya Kenya ina elimu post secondary, ama degree au masters au PhD.

Asilimia 70% ya labor force ya Tanzania ina elimu ya msingi.

Sasa wazee, hilo eneo ambalo sisi tumewazidi Kenya tunalojisifia nalo kiasi hiki kila kukicha ni lipi?🤔🤔🤔

kwa upumbavu na ujinga Tz inaizidi Kenya.
 
Huo wote ni utumbo, issue ni kwamba wale wapumbavu wao wakirudi Tanzania hawatarudi tena Kenya, hizo porojo zingine ni irrelevant. Tanzania inaizidi Kenya kwa mambo mengi sana. Kwa Tanzania Kenya ni km chokoraa tu
Mambo yapi hayo? Taja hata ma 3 tu
 
Huo wote ni utumbo, issue ni kwamba wale wapumbavu wao wakirudi Tanzania hawatarudi tena Kenya, hizo porojo zingine ni irrelevant. Tanzania inaizidi Kenya kwa mambo mengi sana. Kwa Tanzania Kenya ni km chokoraa tu
Umesema nini?
 
Msaada: NI KIPI HASWA AMBACHO TANZANIA IMEIZIDI KENYA?🤔

1. Kwenye taarifa ya innovation duniani (WIPO) Tanzania ipo nafasi ya 120, wakati Kenya ipo nafasi ya 96.

2. Kwenye Human Development Index, Tanzania ipo nafasi ya 165, Kenya wapo nafasi ya 143.

3. Kwenye taarifa ya Maendeleo ya Vijana Duniani, Kenya ipo nafasi ya 143 wakati Tanzania tupo nafasi ya 166.

4. Kenya ni moja kati ya nchi tatu zinazozalisha tafiti nyingi Africa, Tanzania hata top ten sidhani kama tupo.

5. Chuo chetu bora kwa tafiti na kinachotutoa kimasomaso ni Muhimbili, kipo nafasi ya 87 Africa na nafasi ya 6,594 Duniani; kwenye kundi la Q2, second best kwa lugha nyingine. Wakati huo University of Nairobi ipo nafasi ya 34 Africa, nafasi ya 4,674 Duniani, na kama haitoshi kipo kwenye Q1, yani best quartile (kwa mujibu wa Scimago report 2025).

6 Mpaka kufikia mwaka 2020, Kenya ilikuwa na jumla ya shule za msingi za umma 23,600 zenye wanafunzi 8,600,000 na walimu 212,000.

Tanzania mpaka 2024 tulikuwa na shule za msingi za umma 17,400 zenye wanafunzi 11,000,000 na walimu 176,500.

Yani sisi tuna wanafunzi karibu milioni tatu zaidi ya Kenya, lakini Kenya wana shule za msingi 5,000 zaidi yetu, na karibu walimu 40,000 zaidi yetu. Hawa ndio watu uliowapita?🤔🤔

7. Jumla ya kompyuta kwenye shule za msingi za umma Kenya mpaka 2020 ilikuwa 836,000, Tanzania ukichanganya mpaka smartphones za walimu unapata devices 260,000.

8. Mpaka 2020 Kenya ilikuwa na shule za sekondari za umma 9,400 zenye wanafunzi 3,600,000 wanaofundishwa na walimu 115,000.

Tanzania mpaka mwaka jana tulikuwa na shule za sekondari za umma 4,500 zenye wanafunzi 3,000,000+ na walimu 96,000.

9. Mpaka 2020 kulikuwa na zaidi ya kompyuta 62,000 kwenye shule za sekondari za umma Kenya, Tanzania mpaka kufika mwaka jana tulikuwa na kompyuta devices 16,000 tu kwenye shule zetu zote za sekondari za umma.

10. Asilimia 70% ya labor force ya Kenya ina elimu post secondary, ama degree au masters au PhD.

Asilimia 70% ya labor force ya Tanzania ina elimu ya msingi.

Sasa wazee, hilo eneo ambalo sisi tumewazidi Kenya tunalojisifia nalo kiasi hiki kila kukicha ni lipi?🤔🤔🤔
MSUKUMA NA CCM NI MABINGWA WA UONGO
 
Back
Top Bottom