Tunawapenda sana wanawake ..

BongeMwepesi unafanya vema sana kuwathamini na kuwapenda wanawake,ila one thing umesemea nafsi za wengi bora ungesema ninawapenda sana,sina shaka ushaona baadhi ya wenzio walivyoanza kukinzana na sauala la wanawake kupendwa copy Mokoyo huyu mkuu sijui kama ana maoni kama yako kuhusu wanawake charger ye huyu kashajua leo ni weekend so anaamini sifa zako zina sababu nyuma yake,(not ana offence please just chalenges)apart from hao hope umekuwa ukiona mwenyewe jinsi wanawake wanavyonangwa humu ndani,ila kwa mimi nakuunga mkono wanawake wana sehemu kubwa sana katika dunia hiiii,wanawake hoyeeeeeeeee :cheer2: :cheer2:.
 
Last edited by a moderator:
asante kwa kuappreciate!!!
 
Tehe tehe..!! Mtupende tu hvo hivo mana hapana mwanaume bila mwanamke na kinyume chake! Lol
 

Aksante kwa kulitambua hili. Thank U for appreciation.
 

Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !

Near by Makunguru hotel Mbeya
 
wanaume bwana..
jamaa anayaongea haya IJUMAA..ili asinyimwe
afu leo tar.ngapi vile 14.09....ili asiombwe mkwanja..
..then w/wake wanafurahiii, kumbe jamaa ana lake rohoni...dunia hii
 

Umenena vizuri madam,mkiwa mnaweka maada kama hizi zenye maneno matamu inapendeza sana,siyo kila siku ooh hawajui 6 by 6 mkiwa nao hamsemi kuwa hawawezi mkiachana nao maneno meeengii..........
 
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…