Tunawapenda sana wanawake ..

Tunawapenda sana wanawake ..

BongeMwepesi unafanya vema sana kuwathamini na kuwapenda wanawake,ila one thing umesemea nafsi za wengi bora ungesema ninawapenda sana,sina shaka ushaona baadhi ya wenzio walivyoanza kukinzana na sauala la wanawake kupendwa copy Mokoyo huyu mkuu sijui kama ana maoni kama yako kuhusu wanawake charger ye huyu kashajua leo ni weekend so anaamini sifa zako zina sababu nyuma yake,(not ana offence please just chalenges)apart from hao hope umekuwa ukiona mwenyewe jinsi wanawake wanavyonangwa humu ndani,ila kwa mimi nakuunga mkono wanawake wana sehemu kubwa sana katika dunia hiiii,wanawake hoyeeeeeeeee :cheer2: :cheer2:.
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na matatizo yenu yote,tunawapenda sababu mu warembo na mnakonga mioyo yetu na ni furaha zetu,mnajua kutucare sana ,hata tukiwakosea mara zote mmekuwa wakwanza kutusamehe,kwa kweli nyie ni maua ambayo kama isemavyo nyumba bila mwanamke basi sio nyumba.basi mjitahidi kubehave basi lol.
asante kwa kuappreciate!!!
 
Tehe tehe..!! Mtupende tu hvo hivo mana hapana mwanaume bila mwanamke na kinyume chake! Lol
 
Pamoja na matatizo yenu yote,tunawapenda sababu mu warembo na mnakonga mioyo yetu na ni furaha zetu,mnajua kutucare sana ,hata tukiwakosea mara zote mmekuwa wakwanza kutusamehe,kwa kweli nyie ni maua ambayo kama isemavyo nyumba bila mwanamke basi sio nyumba.basi mjitahidi kubehave basi lol.

Aksante kwa kulitambua hili. Thank U for appreciation.
 
kila binadamu ana mapungufu na maongeo yake so kama mnatupenda basi nasi tunawapenda zaid manake tunajua mwanaume ndiye anayekamilisha utimilifu wetu, pasi nyie heshima tuzipatazo zisingekuwepo, mmetukaribisha kwenye maisha yenu, mkakubali kuwa na full responsibility juu yetu, mnatulinda, mnatupenda na kutujali zaid ya yote mu viongozi wetu

Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !

Near by Makunguru hotel Mbeya
 
wanaume bwana..
jamaa anayaongea haya IJUMAA..ili asinyimwe
afu leo tar.ngapi vile 14.09....ili asiombwe mkwanja..
..then w/wake wanafurahiii, kumbe jamaa ana lake rohoni...dunia hii
 
kila binadamu ana mapungufu na maongeo yake so kama mnatupenda basi nasi tunawapenda zaid manake tunajua mwanaume ndiye anayekamilisha utimilifu wetu, pasi nyie heshima tuzipatazo zisingekuwepo, mmetukaribisha kwenye maisha yenu, mkakubali kuwa na full responsibility juu yetu, mnatulinda, mnatupenda na kutujali zaid ya yote mu viongozi wetu

Umenena vizuri madam,mkiwa mnaweka maada kama hizi zenye maneno matamu inapendeza sana,siyo kila siku ooh hawajui 6 by 6 mkiwa nao hamsemi kuwa hawawezi mkiachana nao maneno meeengii..........
 
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom