Tunawadharau sana wanawake

WAFARIJI WETU ITAKUWA PUNYETO

maana ndani ya ssekunde 56 ushamaliza na mawazo juu ya wanawake yanakuwa yasshaisha
 
Tunawadharau sana wanawake, lakini Hawa nduo mademu zetu, wachumba zetu, wake zetu, dada zetu, shangazi zetu, mama zetu na bibi zetu.
Je wakitoweka na ulimwengu ukabaki Wanaume watupu tutakuwa wakiwa na wapweke kiasi gani?
Tusingoje wapotee,
Tuwapende na kuwaheshimu sasa
Uko sawa ila pia hujakutana na wanawake vichomi.ungekua umewahi kukutana nao nafikili ujumbe wako ungekua mrefu ili kutoa ushauli kwa pande zote.mpaka yaje yakufike ndo utajua hata sisi ni kaka zao,baba zao,babu zao na wajomba zao.wangekua peke yao wangejuta
 
a gift of life astounds me to this world I give it up for the woman
 
Uko sawa ila pia hujakutana na wanawake vichomi.ungekua umewahi kukutana nao nafikili ujumbe wako ungekua mrefu ili kutoa ushauli kwa pande zote.mpaka yaje yakufike ndo utajua hata sisi ni kaka zao,baba zao,babu zao na wajomba zao.wangekua peke yao wangejuta
Dawa sio kushindana Nao.
dawa ni kuwazidi akili, watanyooka
 
Waheshimiwe Milele..... Nahisi Hawa ndio wanafanya dunian kunakuwa na furaha.
Ila....

Kuna wengine bwana dahhhhh wacha wazarauliwe....maana wenywewe hawajiheshimu hata kidogo........
 
Dawa sio kushindana Nao.
dawa ni kuwazidi akili, watanyooka
My friend..hawa watu hata MUNGU alijua tunaelekea wapi ndo mana akaweka kakitu fulani hivi wao wakawa wengi na sisi ni wachache.vinginevyo hapa mimi ni msukuma lakini ningekua naimba kisambaa
 
Back
Top Bottom