Tunavyoishi ni kama watoto wa bata

Tunavyoishi ni kama watoto wa bata

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
12,212
Reaction score
23,258
Bata kama Bata pamoja na uhodari wake wa kupigana na kunguru/ nyoka na viumbe wengine, anatajwa kuwa ndiye kiumbe anayelea watoto kwa mtindo wa aina yake.

Kawaida Mzazi ndiye humuongoza mtoto lakini kwa bata nikinyume chake. Malezi ya bata ni ya kipuuzi sana ambapo Watoto ndiyo humuongoza mzazi kutafuta chakula.

Mbaya zaidi mzazi anaweza hata kumkanyaga mtoto pasipo kujali bata maumivu ya mtoto.

Hata watoto wa bata wafe ote bata huwa hajali wala kushitushwa.

Faida yake tu ni kwamba matoto ya bata hupatwa na usugu wa kujitaftia.

Hivi ndivyo tunaishi sasa! Tuliyemtegemea awe comfort in chief ndo hivyo tena katuacha tupambane kama watoto wa bata.

Kuanzia leo usiache kumwambia jirani yako Pambana kama mtoto wa Bata.

Tushatelekezwa! Kama hujui ndo nakujuza Leo!

..mradi wa maji umesombwa na mafuriko..

Komaa mtoto wa bata
 
Ni muda wa kusonga mbele, vilio vimetosha maana hakuna anaejali tena.
 
Ni muda wa kusonga mbele, vilio vimetosha maana hakuna anaejali tena.
Yes! Ukiumia kung'uta miguu songa mbele! Kila mnyama anastyle yake ya kulea watoto!
Ukipoteza mda mwingi kulaum hufiki,
 
cjui hata anawaza nini na anavyoogopwa...
Usipoteze mda kumjadili ndivyo alivyo! We chapa rapa maisha yaende ! Only God know!
Ukipoteza mda kutafakari unawezwa patwa na sonona bure
 
Tuishi humohumo kama watoto wa bata, Ili tuendelee kula bata.
 
Back
Top Bottom