khalifa awe
Senior Member
- Sep 21, 2016
- 147
- 31
- Thread starter
- #41
Nauza zoteNikitaka ekar moja je?
Nauza zoteNikitaka ekar moja je?
KaribuniShamba linauzwa ekari 60 lipo CHEMBA mkoani Dodoma km 50 toka Dodoma mjini km 16 toka barabara kuu ya Dodoma Arusha bei 100000/- kwa kila ekari moja linafaa kwa mifugo Na kilimo cha mahindi, maharage, mbaazi, ufuta, alizeti, mtama, mihogo, na ulezi ni km 2 kutoka mto bubu
Ukitaka eka moja nunua mjini lipo Kibaigwa sh.1500000Nataka eka moja napata?
Hati ipoKaribuni
Ukitaka eka moja nunua mjini lipo Kibaigwa sh.1500000
Utapima mwenyeweHati ipo