Elijah O
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 1,126
- 924
Me nataka hyo biashara ya samaki njoo chema tunenekwayeyote anayetaka kufanya Biashara ya samaki tunamkaribisha sana tunatuma sehemu yoyote ile. Hawa ni kutoka ziwa Victoria mwanza.![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nataka wale wa mpiraNawakaribisha kwenye biashara ya samaki tunatuma popote pale kuanzia kg 100. Kwa samaki Aina zote sangara, Sato ama ukitaka fileti. Kwa wale wenye mabucha ya samaki mnakaribishwa
Kwa watu walio serious tu karibu kwa maelezo zaidi. pia![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Samaki hawa wanapatikana kiwandani karibu na ofisi za radio free Africa, kiwandan sio kwamba kila mtu anaruhusiwa kuingia unless uwe unafanya biashara humo ndio maana ukitaka kufika lazima unitafte au utafte mtu mwingine anayehusikaSasa mbona huja elezea ofisi (maduka) yalipo? Yani mfano Mtu anataka kuja kununua mwenyewe aje wapi? Physical address pls! Kambale wabichi
Mkuu sijasema nauza vifaranga ila kama upo serious Kuna chuo cha uvuvi mwanza wanauza kwa 250 kimojamimi naitaji vifaranga wa prawns na hao tilapia.... una uzaje...?
Njaa itakuua dogo, au unapima tu upepo maana hii biashara ya samaki hasa wa kutoka Mwanza huifahamu! Hicho kiwanda unachowadanganyia watu kazi yake ni kuprocess samaki (fillet) kwa ajili ya soko la ulaya nk.Samaki hawa wanapatikana kiwandani karibu na ofisi za radio free Africa, kiwandan sio kwamba kila mtu anaruhusiwa kuingia unless uwe unafanya biashara humo ndio maana ukitaka kufika lazima unitafte au utafte mtu mwingine anayehusika
Sent using Jamii Forums mobile app
Njaa itakuua dogo, au unapima tu upepo maana hii biashara ya samaki hasa wa kutoka Mwanza huifahamu! Hicho kiwanda unachowadanganyia watu kazi yake ni kuprocess samaki (fillet) kwa ajili ya soko la ulaya nk.
We ndio hufahamu hyo biashara inafanyikaje kama hujui kitu bora usiongee utaonekana mjinga tu. Samaki wa fileti ni tofauti na hawa samaki kwa akili yako ndogo unadhani watu tu nasupply vipi samaki kwenye mabucha? Tafuta maelezo 'na sio kuchafua biashara ya mtu. Samaki wakishafika kiwandan wale wakubwa wanachukuliwa kwa ajili ya fileti wanaobaki size kama niliyoonyesha huchukuliwa kwa matumizi mengine. B4 hujachafua biashara ya mtu fanya utafti Kwanza ama unadhan viwanda vya kufroze samaki wanapata wapi samakiNjaa itakuua dogo, au unapima tu upepo maana hii biashara ya samaki hasa wa kutoka Mwanza huifahamu! Hicho kiwanda unachowadanganyia watu kazi yake ni kuprocess samaki (fillet) kwa ajili ya soko la ulaya nk.
Nyie ndio msiojielewa kwendeni huko. Mtu aliyeserious atafika maeneo niliyoyataja nyie msiojielewa kaeni hvyohvyoHata Mimi nimemstukia aisee?! Naona anajaribu kutaka kutubabaisha!
Mkuu mbona hao pichani wote ni under size?kwayeyote anayetaka kufanya Biashara ya samaki tunamkaribisha sana tunatuma sehemu yoyote ile. Hawa ni kutoka ziwa Victoria mwanza.![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
MadegeleNawakaribisha kwenye biashara ya samaki tunatuma popote pale kuanzia kg 100. Kwa samaki Aina zote sangara, Sato ama ukitaka fileti. Kwa wale wenye mabucha ya samaki mnakaribishwa
Kwa watu walio serious tu karibu kwa maelezo zaidi. pia![]()
Sent using Jamii Forums mobile app