Tunauza Samaki aina zote

Tunauza Samaki aina zote

Emojis

Senior Member
Joined
Jan 4, 2017
Posts
191
Reaction score
219
Nawakaribisha kwenye biashara ya samaki tunatuma popote pale kuanzia kg 100. Kwa samaki Aina zote sangara, Sato ama ukitaka fileti. Kwa wale wenye mabucha ya samaki mnakaribishwa
Kwa watu walio serious tu karibu kwa maelezo zaidi. pia
434b12be4552640d925d685e1c62d44f.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu nataka kumnunulia yupo Lilongwe Malawi. Kilo 120. Mbona hujataja bei, na kutuma ni bure? Na mnatumia njia gani wasiweze kuharibika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu nataka kumnunulia yupo Lilongwe Malawi. Kilo 120. Mbona hujataja bei, na kutuma ni bure? Na mnatumia njia gani wasiweze kuharibika?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka samaki wa Aina gani? Samaki hawana bei permanent ukitoa order kwa siku hiyo unapewa bei hii inatokana na upatikanaji wake Kuna kipindi wapo wengi Kuna kipindi wanapungua. Pia inategemea unataka waloganda ama fresh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom