Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Apartments zinauzwa zipo Ununio ml.350 maongezi, nyumba ziko2 kwemye compound moja, zina vyumba vitatu kila moja, vyumba2 kati ya hivyo ni master, sebule, open kitchen, dining, public toilet, uwanja sqm800
Zinapangishwa lak 8 kila moja kwa zote ni Tsh 1.6m kwa mwezi na zote zina wapangaji..ukinunua unauziwa na mikataba ya wapangaji
 
Nauza hii plot ipo Ununio na ni plot ya pili kutoka Lami. Ina nyumba ndogo ya vyumba 2 self sebule jiko nk..size plot 2400 SQM
Kimepimwa na kina Hati Miliki
Bei Tsh 175m
Maongezi zaidi 0756060183

 
Kiwanja kinauzwa kipo Mabwepande

Kiwanja kipo mabwepande karibu na Soko na pia ni jirani na Hospital
Kiwanja kina ukubwa wa 800 SQM
Kimepimwa na kina Hati Miliki
Bei Tsh 18m
Maongezi zaidi 0756060183

 
Kiwanja kinauzwa kipo Mabwepande

Kiwanja kipo mabwepande karibu na Soko na pia ni jirani na Hospital
Kiwanja kina ukubwa wa 800 SQM
Kimepimwa na kina Hati Miliki
Bei Tsh 18m
Maongezi zaidi 0756060183
 
Nauza hii plot ipo Ununio na ni plot ya pili kutoka Lami. Ina nyumba ndogo ya vyumba 2 self sebule jiko nk..size plot 2400 SQM
Kimepimwa na kina Hati Miliki
Bei Tsh 175m
Maongezi zaidi 0756060183
 
Nyumba ipo kaliakooo Ilala mtaa wa shauri moyo jirani kabisa na machinga complex Ina frem 15 na toilet 1 ya kulipia frem moja 350,000/=

Bei Tsh 650m
Maongezi zaidi 0756060183


 
PLOT FOR SALE BOKO MSIKITINI.
▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ ▃

Eneo Lipo Mita 50 Kutoka Barabara ya Lami Mkabala na Domi House.

--- Eneo ni Zuri Kwa ujenzi wa Apartment,Hotel,Parking Yard au Warwhouse.

--- Eneo lote Limezungushiwa Ukuta wa Tofali na Lina gate

--- Plot Size: 2,207 Sqm

--- Eneo limepimwa na Kurasimishwa na Halmashauri ya Kinondoni na lina Hati Miliki/Title deed.

--- Maji Yapo ( Dawasa)na Umeme upo.

--- Kwenye Eneo Kuna Nyumba ya kisasa yenye vyumba....
# 3 Bedrooms- 1 Masterbedroom.
# Sitting room,Dining room,Store,Kitchen, Bathrooms and Public Toilet.

An Ideal for Reaidential purposes.

Bei ni Tsh 380M (Negotiable) ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ ▃
Call or WhatsApp for more details. 075606p183

 
Eneo la heka moja linauzwa Bahari beach
Eneo lina ukubwa wa heka 2
Ni mtaa wa pili kutoka lami
Bei Tsh 395m
Linafaa kwa matumizi ya Kanisa, Msikiti,Apartments, hostel,hotel,family house nk
Maongezi zaidi 0756060183

 
Shamba lipo bagamoyo jirani kabisa na inapojengwa bandari mpya na pia ni jirani na chuo cha Kaole.
Eneo lina ukubwa wa heka 10 na limepimwa lina hati.
Bei Tsh 290m
Maongezi zaidi 0756060183

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…