Tunauza mashine za kutengezea Ice cream (Koni)

Tunauza mashine za kutengezea Ice cream (Koni)

upload_2018-7-17_16-31-22.jpeg
 
Anza sasa Biashara hii uvune pesa...

Tunauza mashine za kutengezea ICE CREAM(Koni).

Gharama ni 2400000/=

Mafunzo ya kutengeneza ice cream pia utapata bure.

Ofisi ipo Airport Dar

Pm ukiwa tayari.
Airport hapo ndani au?
 
mtu unaambiwa utoe picha unatoa namba ya simu je ukiambiwa utoe namba ya simu utatoa nini? weka kwa faida ya wengi
 
nimefungua nipate ujuzi, nimeishia kucheka na kuongeza siku. 😀
 
mtoa maada anasema mashine ashauza asaiv anauza ice cream.
 
Back
Top Bottom