Nimemwambia anipigie tuzungumze chiefWee sii umesema unashida sana na hela sasa unakataaje ofa ya mil 5 aliyotoa yule mrembo

Za masiku njema tu sema vyuma ,balaa .Nipe Dili basi mkuuZa masiku?
Bado nafanya nae ila kwa sasa kanihamishia Kyetema.
Za masiku njema tu sema vyuma ,balaa .Nipe Dili basi mkuu

R-grade unamaanisha nn mkuu?Hii gari ni R-grade ya Japan?
R-Grade ni gari iliyokuwa repaired Japan pengine kutokana na accident and etc.R-grade unamaanisha nn mkuu?
Oooh...nimekuelewa mkuu. Sina hakika na hiloR-Grade ni gari iliyokuwa repaired Japan pengine kutokana na accident and etc.

Vipi hiyo nyumba huiuzi?Imported from Japan
.
YOM: 2003
Capacity: 1.3L
Automatic
Petrol
97,000 Kms
.
Mimi niliyeanzisha uzi huu ndiye mmiliki halali na niko na documents zote. (SIO DALALI)
Location: DSM
.
Piga: 0717 650800
View attachment 2192817View attachment 2192818View attachment 2192820View attachment 2192821View attachment 2192823
Sijakuelewa mkuuVipi hiyo nyumba huiuzi?

Nasikiliza ushauri, nishushe mpaka ngapi mkuu?Hii gari mbona haitoki shusha bei