Sawa naomba nipigie ili tuongee vizuri maana sms haitoeleza vizurMkuu inawezekana maji ya chumvi kuwa treated na ya kafaa kwa matumizi ya binadamu? Na kwa experience yako kwa Dar sehemu kama mbezi beach….possibility ya maji baridi ikoje?
Meter mmoja bei ganjKumekucha salama, tunaanza siku kwa kukuchimbia kisima chenye maji ya uhakika.. karibu