Chrysanthemum
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 1,914
- 6,916
Niko wilaya ya Gairo mkuu , kwa experience yako maji yanaweza kuwa urefu gani kutokea juu , ili nijikakamue niandae kibunda kwa ajili ya uchimbaji !!
Me nachimba kwa ajili ya kilimo !!!
Me nachimba kwa ajili ya kilimo !!!