mwagito25
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 633
- 350
- Thread starter
- #21
Hilo suala ni maamuzi yako tu mkuu maana kuna mawili inawezekana mkondo uliopo kwa jirani yako kwako haupo au upo. Hivyo ukisema njooni mnichimbie twaja kufanya kazi.
Ingawaje kama hutojali ukipima unakuwa na uhakika na bajeti yako ... Tofauti na usipopima maana yake maji yatakapopatikana ndio hapo hapo
Ingawaje kama hutojali ukipima unakuwa na uhakika na bajeti yako ... Tofauti na usipopima maana yake maji yatakapopatikana ndio hapo hapo