Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,780
- 5,322
Tupe ufafanuzi kuhusu hiyo ya kukaa miezi 6 ndio kadi iweze kutumika.
Ina maanisha nikijiunga Leo na mkanipa kadi siwezi kupata huduma zipi kwa hicho kipindi cha miezi 6?
AAR ukijiunga leo wakati unasubiri kadi wanakupa temporary barua kwa ajili ya kutibiwa iweje nyinyi mpaka usubiri miezi 6? Sio wizi huo?
Ina maanisha nikijiunga Leo na mkanipa kadi siwezi kupata huduma zipi kwa hicho kipindi cha miezi 6?
AAR ukijiunga leo wakati unasubiri kadi wanakupa temporary barua kwa ajili ya kutibiwa iweje nyinyi mpaka usubiri miezi 6? Sio wizi huo?