Mashimba Son
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 1,131
- 1,406
Mnasumbua sana kupata huduma hiyo, mimi nimemkatia mama yangu toka mwezi wa 12 lakini hadi leo haitumii natoa pesa zangu tu, mhudumu wenu wa hapo mhimbili hospital anadai hadi imalize miezi 6.