Tunatengua hadi wagombea madiwani

Tunatengua hadi wagombea madiwani

Kansigo

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
2,670
Reaction score
2,156
Aliyekuwa mgombea udiwani kupitia chadema(ukawa) kata kashai bukoba mjini bw.nuru kabaju ameenguliwa katika kinyang'anyiro baada ya kufanya kosa la kisheria katika kujaza fomu........
Mwaka huu tutafahamiana tu.....

Ccm mbele kwa mbele.... 11903425_1640491302890417_600735843_n.jpg
 
Tatizo kubwa hawa ukawa hawapendi shule...
Sugu
Mnyika
Mbowe
Sumaye
Msigwa
Wote hawajui kusoma na kuandika
 
Kosa ni nini? Hakuapa mbele ya hakimu? Mbona fomu ilikuwa inajieleza vizuri? Au kuna namna? Viongozi wa CDM kuweni makini na hili!!!!!
 
Aliyekuwa mgombea udiwani kupitia chadema(ukawa) kata kashai bukoba mjini bw.nuru kabaju ameenguliwa katika kinyang'anyiro baada ya kufanya kosa la kisheria katika kujaza fomu........
Mwaka huu tutafahamiana tu.....

Ccm mbele kwa mbele.... View attachment 280531
Kumbe ni bora wanaposimamisha wagombea kwa vyama kama mbadala ili hata ujanja ukifanywa mwisho wa siku atabaki mmoja wa UKAWA
 
Ukweli ni kwamba jamaa alipewa pesa ili ajitoe. Hayo ni geresha tu. Mimi ni mwanakashai
 
Kwanini uongozi usiwajazie?

..wanakatwa kwa vijikasoro vidogo vidogo.

..it is very unfair wanachofanya hawa ccm.

..prof.maghembe amefanya makosa ktk mhuri wa chama alioutumia ktk fomu zake. Cdm walifanya makosa kama hayo wakati wa uchaguzi serikali za mitaa na wagombea wao woote walienguliwa. This time tume imekataa kumuengua prof.maghembe.

Pasco, NasDaz
 
Last edited by a moderator:
..wanakatwa kwa vijikasoro vidogo vidogo.

..it is very unfair wanachofanya hawa ccm.

..prof.maghembe amefanya makosa ktk mhuri wa chama alioutumia ktk fomu zake. Cdm walifanya makosa kama hayo wakati wa uchaguzi serikali za mitaa na wagombea wao woote walienguliwa. This time tume imekataa kumuengua prof.maghembe.
Pasco, NasDaz
Hizi ni harakati za bao la mkono!, la kuvunda ni la kuvunda tuu, halina ubani, siku ya siku, miti yote itateleza!.

P.
 
..hivi kuna tatizo gani kwa wagombea ambao fomu zao zina kasoro ndogo-ndogo kupewa nafasi ya kurekebisha kasoro hizo?

..mimi nadhani mgombea anayepaswa kukatwa ni yule aliyefanya FORGERY, lakini haya makosa madogo-madogo nadhani they should be given an opportunity to make corrections.
 
..hivi kuna tatizo gani kwa wagombea ambao fomu zao zina kasoro ndogo-ndogo kupewa nafasi ya kurekebisha kasoro hizo?

..mimi nadhani mgombea anayepaswa kukatwa ni yule aliyefanya FORGERY, lakini haya makosa madogo-madogo nadhani they should be given an opportunity to make corrections.
Tatizo lao kubwa wapo upinzani.
 
Tatizo kubwa hawa ukawa hawapendi shule...
Sugu
Mnyika
Mbowe
Sumaye
Msigwa
Wote hawajui kusoma na kuandika

Below the minimum range of Thinking capacity, can u think a little bit more?
 
Kanuni zinazofuatwa katika ukataji zinatumika kwa wagombea wote bana acheni kuupotosha umma kwamba ni kwa wagombea wa UKAWA tu. Mfano mzuri ni yule mgombea wa CCM wa Kasulu Nsanzugwanko D.N aliyekwata kwa kukosea tu kuandika tarehe yake ya kuzaliwa. Kwa hyo msijishaue kwa kukulalamika kisa ni mgombea wa UAKWA ndio amekwata mbona alipokatwa wa CCM mlichekelea.
 
..hivi kuna tatizo gani kwa wagombea ambao fomu zao zina kasoro ndogo-ndogo kupewa nafasi ya kurekebisha kasoro hizo?

..mimi nadhani mgombea anayepaswa kukatwa ni yule aliyefanya FORGERY, lakini haya makosa madogo-madogo nadhani they should be given an opportunity to make corrections.

ni mwendelezo uleule ...uchaguzi hawapendi ufanyike ila basi tu.....wanaccm wamekewa mapingamizi sehemu kibao lkn umesikia kuna ambaye ameengeliwa.... jibu ni hakuna..unafikiri wao ccm hakuna ambaye amekosea ujazaji wa fomu ...jibu wapo........mwarobaini wa haya yote ni tume huru ya uchaguzi na sio jambo lingine..........tofauti na hapo kelele hazitaisha
 
Kanuni zinazofuatwa katika ukataji zinatumika kwa wagombea wote bana acheni kuupotosha umma kwamba ni kwa wagombea wa UKAWA tu. Mfano mzuri ni yule mgombea wa CCM wa Kasulu Nsanzugwanko D.N aliyekwata kwa kukosea tu kuandika tarehe yake ya kuzaliwa. Kwa hyo msijishaue kwa kukulalamika kisa ni mgombea wa UAKWA ndio amekwata mbona alipokatwa wa CCM mlichekelea.

..hivi wagombea wangapi wa ccm wamekatwa?

..kuna mgombea kama Prof.Maghembe ambaye tume au msimamizi amekataa kumuengua.

..yaani mapingamizi aliyowekewa Prof Maghembe angekuwa amewekewa mgombea wa ukawa basi bila shaka leo tungekuwa tunaandika maumivu.
 
Back
Top Bottom