macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 28,310
- 57,090
Du karne hii bado watu wanaandika barua kwa mkono. Jamani kuchapisha imekuwa tatizo!
Kanuni zinazofuatwa katika ukataji zinatumika kwa wagombea wote bana acheni kuupotosha umma kwamba ni kwa wagombea wa UKAWA tu. Mfano mzuri ni yule mgombea wa CCM wa Kasulu Nsanzugwanko D.N aliyekwata kwa kukosea tu kuandika tarehe yake ya kuzaliwa. Kwa hyo msijishaue kwa kukulalamika kisa ni mgombea wa UAKWA ndio amekwata mbona alipokatwa wa CCM mlichekelea.