natengeneza simu online kam ina tatizo kati ya haya yafutayo
1.imezima gafla
2.haitaki kuwaka
3.umeshau password so unataka kuflash
4.imejilock
5.inawaka na kuzima
Na nk kifupi ni tatzo lolote la software
namba yangu hii hapa 0712505049
Kuna tatizo kwenye my Huawei y300 yaani mtu akinipigia inakuja no tuu badala ya jina au mpaka ni save kwa kuanzia na Tanzania code ndio inaweza kuonesha.
Kuna tatizo kwenye my Huawei y300 yaani mtu akinipigia inakuja no tuu badala ya jina au mpaka ni save kwa kuanzia na Tanzania code ndio inaweza kuonesha.
natengeneza simu online kam ina tatizo kati ya haya yafutayo
1.imezima gafla
2.haitaki kuwaka
3.umeshau password so unataka kuflash
4.imejilock
5.inawaka na kuzima
Na nk kifupi ni tatzo lolote la software
namba yangu hii hapa 0712505049
Nina simu yangu Samsung galaxy note 3, nimefanya factory reset hatimae Samsung logo imepotea nikiwasha na name hata nikizima, natamani kurudisha logo je utanisaidiaje? cc: chief-mkwawa Ahsanteni!
Nina simu yangu Samsung galaxy note 3, nimefanya factory reset hatimae Samsung logo imepotea nikiwasha na name hata nikizima, natamani kurudisha logo je utanisaidiaje? cc: chief-mkwawa Ahsanteni!
Nina simu samsung SGH 1337 galaxy s4 yenye 4G ina tatizo la poor network pia nikicharge haicharge inaalert low battery temperature nifanye nn msaada tafadhali
malipo mpaka kazi ifanyike ukizingua tunahack namba yako ufanyi mawasiliano yoyote we na phone book yako mwaka mzima hacking ni somo zuri sana baada ya kupata mafunzo huko uk now naweza vamia hata website ya usalama wa taifa
malipo mpaka kazi ifanyike ukizingua tunahack namba yako ufanyi mawasiliano yoyote we na phone book yako mwaka mzima hacking ni somo zuri sana baada ya kupata mafunzo huko uk now naweza vamia hata website ya usalama wa taifa
Angalia maneno yako mkuu JF inatembelewa na watu wngi lisije kutokea la kutokea ukatafutwa ndoto zako zikaishia hapa hii Bongo sio UK. Ila kila la kherii na kazi zako.
malipo mpaka kazi ifanyike ukizingua tunahack namba yako ufanyi mawasiliano yoyote we na phone book yako mwaka mzima hacking ni somo zuri sana baada ya kupata mafunzo huko uk now naweza vamia hata website ya usalama wa taifa