unimaginable
Member
- Jan 31, 2017
- 39
- 53
Habari wadau wa JF. Sina maneno mengi isipokuwa napenda kuchukua fursa hii ya JF kutangaza kwenu wadau wa nyuki na wakulima kwamba Shirika letu la "Tanzania Beekeeping and Environmental Services (TANBEES)" tunatengeneza mizinga ya kisasa kabisa ya nyuki (Langstroth) na mingineyo kadri ya uhitaji wa mteja.
Mizinga yetu inakupa urahisi wa kuvuna mazao yote ya nyuki kirahisi sana. Ofisi yetu ipo Wilaya ya Lushoto mkoa wa Tanga lakini tunapokea order na kutuma mzigo popote Tanzania. Unaweza kuwasiliana nasi kwa 0744203104.
Mizinga yetu inakupa urahisi wa kuvuna mazao yote ya nyuki kirahisi sana. Ofisi yetu ipo Wilaya ya Lushoto mkoa wa Tanga lakini tunapokea order na kutuma mzigo popote Tanzania. Unaweza kuwasiliana nasi kwa 0744203104.