Tunataka ushindi kamili dhidi ya magaidi wa Hamas!

Tunataka ushindi kamili dhidi ya magaidi wa Hamas!

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
9,000
Reaction score
7,618
Jukwaa la Wapiganaji Waliojeruhiwa limetoa taarifa kumtaka Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu asikubali makubaliano yoyote ya Gaza ambayo hayaleti "ushindi kamili" dhidi ya Hamas.

"Tulijitolea kwa ushindi," wasemaji wa zamani.

Wanasisitiza kuwa sasa si wakati wa kusitishwa kwa mapigano, kwani kutaipa tu nafasi Hamas na muda wa kujirekebisha. Wamelitaka jeshi lao wafanye kazi waliyotumwa kutokomeza magaidi.

Pia waliwataka wanasiasa Waliache Jeshi IDF lifanye kazi yake lisiingiwe na maamuzi ya ki siasa.

IMG_3574.jpeg
 
Wanalia lia kitandani wametandikwa na 'magaidi'.

Wakae watulie wasubiri kifo Taratibu
 
Magaidi wa Hamas wanapumulia mashine na hadi leo waulize kiongozi wao mkuu ni nani hawatakwambia kwani wanaogopa wakimtaja tu kesho anapaishwa kwa mabikra 72.
 
Poleni kamwe Gaza hamtashinda, Kwa kasi ya uuaji mliyonayo ya watu mia Kwa siku mnahitaji siku lak 2 kumaliza wakazi wa Gaza wote provided hawatazaliana. Hivyo Nina bet Bado Kuna kazi kubwa unless Kwenye ground mngekua superior kazi ingewachukua walau siku elfu 50. So you are going no where! Simple analysis keep it. Trump knows already, lakin nyie ni wazee wa kushupaza Hata Kwa Iran Trump alijua pia
 
Back
Top Bottom