Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,390
Ndio maana mimi napenda kusema Rais ajaye lazima awe amesoma shule za kata huyu ndiye anajua machungu ya watanzania na lazima awe amesoma vyuo vya hapahapa bongo anajua machungu ya bodi ya mikopo, migomo ya vyuoni, ujinga unaoendeshwa na baadhi ya wahadhiri kuchelewesha watu kupata shahada za Uzamivu.
MTAZAMO WA KIZALENDO
MTAZAMO WA KIZALENDO