Mimi naona mleta mada hamumtendei haki. Ingekuwa wewe mama mkwe anakuomba kitovu cha mtoto...ungempa kwa kuwa wewe unamuamini Mungu?
Anakitaka cha nini????
Mimi namuamini Mungu lakini najua uchawi upo...hivyo nisinge mpa mtu kitovu cha mwanangu... simple. Akipata matatizio nianze tena kuhangaika kwa mapadre na wachungaji???