Tunatafuta ndugu zake

Tunatafuta ndugu zake

daktari mmesema kwa sasa,,, huyo muuliza swali atakua anamaanisha before "sasa" je hakuwaga na jina? au mlimpokea bila kuchukua maelezo yake?

SEMEJA,
Mfano upo let's say posta UKADONDOKEWA NA KITU KIZITO KICHWANI..

HUNA KITAMBULISHO CHOCHOTE, HUNA SIMU..KUMBUKUMBU ZIKAPOTEA..WASAMALIA WANAKUPELEKA HOSPITAL..

Ukifikishwa hospital : UTAPEWA UTAMBULISHO WA MUDA(HOSPITAL NUMBER) Ili kufuatilia matibabu Yako maana kipaumbele ni KU SAVE LIFE..Sio kujua JINA.

Then hali ikitengemaa/ kupata ahueni still akawa Hana kumbukumbu na hana simu Wala vitambulisho ndio hapo huchukua hatua ya kupiga picha na kutangaza kwa UMMA (matangazo)
 
SEMEJA,
Mfano upo let's say posta UKADONDOKEWA NA KITU KIZITO KICHWANI..

HUNA KITAMBULISHO CHOCHOTE, HUNA SIMU..KUMBUKUMBU ZIKAPOTEA..WASAMALIA WANAKUPELEKA HOSPITAL..

Ukifikishwa hospital : UTAPEWA UTAMBULISHO WA MUDA(HOSPITAL NUMBER) Ili kufuatilia matibabu Yako maana kipaumbele ni KU SAVE LIFE..Sio kujua JINA.

Then hali ikitengemaa/ kupata ahueni still akawa Hana kumbukumbu na hana simu Wala vitambulisho ndio hapo huchukua hatua ya kupiga picha na kutangaza kwa UMMA (matangazo)
barua haija eleza yote hayo🤣🤣🤣 sasa mimi nitajuaje mgonjwa alifikaje hapo moi kwenu
 
Na hiyo kumbukumbu huwa hairudi milele ni ulemavu wa kudumu.

NB: Kama unaweza kuepuka kutumia bodaboda,acha!!!
 
Farolito ameuliza taarifa haija kamilika ila umeona ulicho mjibu,,, sasa na mimi ndo nimekuuliza, Kwani alipo pelekwa hospital hakuandikwa jina
Ushawai kaa mazingira ya hospital ata kidgo hasa apo Muhimbili?.

Kuna watu wanapelekwa hospital baada ya kupata ajali ata wao wenyewe hawajielewi ivyo wanapewa huduma tu wakitumaini akipona atatoa taarifa zake sas wengne ndo wanaishia kupoteza kumbukumbu kama uyo.
 
barua haija eleza yote hayo🤣🤣🤣 sasa mimi nitajuaje mgonjwa alifikaje hapo moi kwenu
Unatumia tu common sense kila kitu sio lazima kielezwe na kama wangekuwa na maeelezo ayo wasingetoa Tangazo ilo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom